Ushangiliaji wa Mayele sasa ni upotezaji wa muda

Ushangiliaji wa Mayele sasa ni upotezaji wa muda

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Ushangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Kuifunga Kagera Sugar anashangilia kwa dakika 3. Angeifunga Asec Mimosas angeshangilia kwa nusu saa...
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Sheria kwani inasema kushangilia isizidi dakika ngapi?
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Kuharibu aharibu Mayele kuteseka uteseke wewe, hebu pita hivi usituletee nuksi zako hapa
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
What is the time fact? Katumia miezi mingapi kushangilia?
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Madhara ya kutokuwa na pesa ya kula.
 
Back
Top Bottom