MIXOLOGIST JF-Expert Member Joined Mar 1, 2016 Posts 14,311 Reaction score 36,056 Mar 8, 2022 #61 Kwani mzee Muchacho anasemaje?
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Mar 8, 2022 #62 Jacobus said: Inawezekana ushabiki unawafanya msinielewe nilichokusudia. Nimesema ushangiliaji sio tatizo ila namna inayotumika sasa ya kuanza kuwaita wengine kabla ya kuanza tendo la ushangiliaji ndo tatizo, muda unapotea. Click to expand... Huo ndo wivu wenyewe sasa. Mbona refa wa mchezo halalamiki?
Jacobus said: Inawezekana ushabiki unawafanya msinielewe nilichokusudia. Nimesema ushangiliaji sio tatizo ila namna inayotumika sasa ya kuanza kuwaita wengine kabla ya kuanza tendo la ushangiliaji ndo tatizo, muda unapotea. Click to expand... Huo ndo wivu wenyewe sasa. Mbona refa wa mchezo halalamiki?