Ushangiliaji wa Mayele sasa ni upotezaji wa muda

Ushangiliaji wa Mayele sasa ni upotezaji wa muda

Mkuu una jazba au nawe umekosa kazi ya kukusanya anwani za makazi🤣🤣🤣

Huyu ndiye mayele. Straika wa nguvu sio wale wazee wa upande X
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Pole kwa kuteseka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Naunga mkono hoja
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
 
Wivu tu kudadadeq ndo maana mmefumuliwa huko Kwa maprooh...
Piga hizo kolos
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Hili suala lako mpelekee Putin akusaidie
 
Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Maoni Yako yanahitajika ..ashangiliaje ..... Kwa hiyo shida sio yeye kufungua ila mnaumia anavyotetema .....
 
Back
Top Bottom