Karibu ukamate plot jiran na kwangu hapa. Na kwa jinsi uluvyo mrembo, aaah nakuahidi ntakulimia na kukuvunia kila kitu, we utakuja kubeba tu
Haya poa. Ukiwa tayar nicheknalima mwenyewe mkuu! niandalie eka5 nilime viaz nxt msimu!serious
Inaliwa mbichiKwahyo inaliwa mbichi au inapashwa kidogo ama?
Duuuh, sasa hicho kiini cha yai kinakua kilipikwa wakat wa maandalizi sio au ndo inakua ntoleeInaliwa mbichi
Hivo hivo mkuuDuuuh, sasa hicho kiini cha yai kinakua kilipikwa wakat wa maandalizi sio au ndo inakua ntolee
Duuh, la khaulaHivo hivo mkuu
Mayonnaise nayo unataka picha mkuu??Picha tafadhali
thread bila picha hainogiMayonnaise nayo unataka picha mkuu??
thread bila picha hainogi
hiyo anayonyweshwa mzee ndio mayonaise?tutumie hata hyo kukamilisha thread
Ndo hyo apohiyo anayonyweshwa mzee ndio mayonaise?
haya mkuuNdo hyo apo
Inafanya kachumbari inakua tasty sana, kwa tuliosoma boarding tulikua tunaweka mpaka kwenye ugali maharage.Duuh, la khaula
Unapika tena au unaweka na kuanza kulambaInafanya kachumbari inakua tasty sana, kwa tuliosoma boarding tulikua tunaweka mpaka kwenye ugali maharage.