mosbright92
Member
- Jun 20, 2014
- 13
- 0
napenda sana kuxomea sheria ufaul wang n gs -d,, hstry -b,, kisw -b+ na englsh -c alaf o levl pia nlpata c ya englsh
je naweza kuxomea sheria?
Vp kuhus mkopo??
Na kama cwez kuxomea sheria je n courz gan ztanifaa hasa ukzngatia n mtoto wa mtu asiyejiweza
naomben msaada wana jamii
nenda national institute of transport kuna coz ya logistic and transport management kwa marks zako utapata ila kwa sheria kama unategemea mkopo sikushauri lolote maana mwaka huu div 1 one ni nyingi
napenda sana kuxomea sheria ufaul wang n gs -d,, hstry -b,, kisw -b+ na englsh -c alaf o levl pia nlpata c ya englsh
je naweza kuxomea sheria?
Vp kuhus mkopo??
Na kama cwez kuxomea sheria je n courz gan ztanifaa hasa ukzngatia n mtoto wa mtu asiyejiweza
naomben msaada wana jamii