mosbright92
Member
- Jun 20, 2014
- 13
- 0
napenda sana kuxomea sheria ufaul wang n gs -d,, hstry -b,, kisw -b+ na englsh -c alaf o levl pia nlpata c ya englsh
je naweza kuxomea sheria?
Vp kuhus mkopo??
Na kama cwez kuxomea sheria je n courz gan ztanifaa hasa ukzngatia n mtoto wa mtu asiyejiweza
naomben msaada wana jamii
je naweza kuxomea sheria?
Vp kuhus mkopo??
Na kama cwez kuxomea sheria je n courz gan ztanifaa hasa ukzngatia n mtoto wa mtu asiyejiweza
naomben msaada wana jamii