Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 61
- 79
Ngi acha kuvuta mdogo wangu1. Wadau habarini, nimeitwa kwenye usaili tangazo la tarehe 11/08/2023
Nimeitwa wakati huo Nina barua ya utumishi ikinitaka niombe ili niweze kupangiwa kazi, Sasa je nikienda na barua yao nitafanya interview ama laa na nikifeli japokuwa natarajia kufaulu watafanya nini wakati huo barua ina cheque namba?
Una elimu gani kiyongozi? Yaani una barua ya kwenda kupangiwa kazi halafu unataka kwenda kuziba nafasi za wenzio? Utakosa zote!1. Wadau habarini, nimeitwa kwenye usaili tangazo la tarehe 11/08/2023
Nimeitwa wakati huo Nina barua ya utumishi ikinitaka niombe ili niweze kupangiwa kazi, Sasa je nikienda na barua yao nitafanya interview ama laa na nikifeli japokuwa natarajia kufaulu watafanya nini wakati huo barua ina cheque namba?
Ile Suti pasi imekolea balaaImenibidi nikatafute ili jina kule facebook
Yani lile jisuti la rangi ya kijivu, shati la kwaya ukichanganya na ukubwa wa ile tai vinaendana kabisa na lugha uliyoitumia hapa.
Andika Vizuri basi. Umeandika v
Sawa ila naona mnashindwa kuelewa(angalia maudhui)Andika Vizuri basi. Umeandika vibaya.
Kazi gani hiyo unaenda kufanyaa maana hata wazoa taka wanaandika vizuri wakaeleweka
Angalia maudhui, naweza kufafanua au kuandika vizuri ila nitakuwa beyond the secretAndika Vizuri basi. Umeandika vibaya.
Sivuti it's secret ndiyo maana iko kimparaganyiko kidogo just look for the contentBa
Ngi acha kuvuta mdogo wangu
Ee msomi tena sawasawa, ishu ni kwamba kitu ni Cha siri siwezi fafanua sanaMsomi huyu!
Sana tu, soma vizuri angalia maudhuiWewe mwenyewe umejielewa?
#YNWA
Wanaelewa zaidi watu wanaorejeshwa kazini think of that halafu urudi kwenye mada yangu utaelewaUna elimu gani kiyongozi? Yaani una barua ya kwenda kupangiwa kazi halafu unataka kwenda kuziba nafasi za wenzio? Utakosa zote!