Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo katika pita pita zangu maeneno ya kanisania nikakutana na rafkiangu nilikua nae wakati tupo wadogo
Kattika kuongea ongea nae muda mrefu akaniambia ya moyoni,,, eh mie nae nina kismati kila naekutana nae ananipa matatizo yake!
Rafiki: Money Penny mpaka leo sijaolewa, kila mwanaume ninae mpata anakuwa na kibamia!
Tangu naanza mahusiano nikiwa na miaka 22 mpaka leo miaka 28 kila mwanaume ninaekutana nae anadyu dyu fupi ndogo kama bamia ndogo
Nikaamua kuingia kwenye maombi sasa kuutafuta USO WA BWANA YESU na BABA YAKE... omba omba na wewe wanaume wakakataaa!
Basi kwa miaka 6 nikawa namwomba Mungu anipe Mume ambae ana DUSHEEE!
Siku moja natoka kazini nikagongana na bwana mmoja, akatoka kwenye gari kuniomba msamaha, katika ongea ongea sioni pete mkononi nikajua ndio wale wale VIPUSA wanaovua pete!
Siku ya malipo tukakutana Garage wakati gari inatengenezwa tukaongea meeengi sana akanipenda, akaanza kuwasiliana nami tangu siku ya garage mpaka siku tunakutana kimwili ilichukua kama miezi 3 maana kulikuwa na vidate vya hapa na pale!
Bwana Penny nikapelekwa kwake nikajua leo nanyoooshwaaaa mapema tuu saa 10 jioni akanikaribisha kwake maana alinijengea saikolojia moja matata sana nikamuamini kwa haraka sana ingawa kwangu hakufahamu!
Siku ya kwenda kwake tunapiga stori na movement za hapa na pale jamaa akavua shati oh johtoooo! me naangalia tu sexy kifuaaa! nikahisi kulowaaa Jeeesoooos is Loooord natamani kutoka lakini nahisi shetani alisimamia ile show!
Mpaka kuja kuzinduka sikujua nguo nilivuajeee! nashangaa jamaa anatoa GOBOLE lake wengine mnaita MWANAUME MACHINE, reeefu kama REMOTE YA TV YA SUMSUNG! kha! huyu kaka anapeleka wapi hii dyu dyu labda? nilihisi kuchanganyikiwa alafu nene kama ya PUNDAAA!
Penny nilikimbia hata sikukumbuka saa ngapi nmilivaa nguo lakini nilikimbia mpaka kwenye gari yangu nikawasha nduki mpaka naingia nyumbani watu wananishangaa nimevaa brazia na kichupi!
Yule kaka amenipigiaaa amepigaaaa ametuma smssss na hivi hajui kwangu jamaaaa ananisumbuaaa mimi naogopa kurudi Penny ile machine mama nadhani nitaenda kubadilisha maombi yangu kwa Mungu
Bora VIBAMIAA uliko MACHINEEEE
Nyie mnaolalamikia Vibamia mkipewa Machine mtaibebaaa au Mnatafuta KIKI tu?
Zawadi ya kidume ni kubarikiwa MASHINE, hata upige Gym vipi hauwezi jaza MASHINE....kifua hata kuku anacho ila sasa MASHINE....Hata uwe handsome boy wanataka MASHINE
Ivyo ee?!Mungu kamwe hajibu kitu kinyume na neno lake.Waasherati wote Mungu atawahukumu, malazi yawe safi na ndoa iheshimiwe na watu wote. Ebr 13:4
AhahahahaUlipotea Money Peny, leo umeibuka kivingine, nipe namba yake hiyo shost wako, mimi namfaa
VepeeYala!!
Mungu huyo huyo alisema zaeni mkaongezeke mkaijaze nchiKwa stori ya hovyo kama hii, unamtaja pia mungu humohumo kwa utani!! Khaaaa..[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Msaidie dadako
Hahaha ahaKweli ni mguu wa tatu utaubebaje? Kukimbia ni dawa
Tupe wewe bado haijapatikanaiyo sentensi ya mwisho ukipata jibu nishtue
Kaka povu vepena hyo saikolojia ya kusema wanaume sijui wanavibamia soon itaanza kuwatafuna wenyewe....
pumbavuu......
[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
Nipe namba zakeDuu, una kipaji cha kutunga,nadhani ukishea mawazo na mtunzi nguli wa magazeti ya udaku mtatoa kitu matata sana.
Ahahahaha Mungu anakuooonaaBora angekutanua lastic iwe Rambo, siku nyingine akili ikukae sawa
Mange kwani anataka vibamia?!Wee muunganishe shostito na Mange Kimambi ainjoi vibamia