Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.

Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni JF na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua BwanaJF ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa JF kama kawaida.

Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri

Note:
Bibi JF ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana JF.

View attachment 1998429re

Mrejesho
 
Naona umeshapigwa mimba unakuja Kwa kumsema mtu anaomba ushauri wakati ni wewe ndy limekupata.Huyo jamaa aliyekupa ujauzito mwambie mkae chini myamalize mlee familia,humu hakuna atakayekupa ushauri wa maana

Alafu unaandika km mtu mwenye furaha sn lkn kumbe unaumia Kwa like jamaa amekufanyia..pole sn mrembo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Duuh
 
Back
Top Bottom