Ushauri: Ameniacha na hofu hapa, sijamuelewa kabisa

Ushauri: Ameniacha na hofu hapa, sijamuelewa kabisa

𝐇𝐚𝐫𝐚𝐟𝐮 𝐧𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐝𝐞𝐦𝐮 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐬𝐮𝐦𝐛𝐚𝐰𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐮𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐥𝐢𝐣𝐮𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐥𝐨, 𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡,( 𝐣𝐨𝐤𝐞𝐬)
 
Jana Xmas day mida ya jioni kuna demu wangu(mmoja kati ya watatu) aliniseti mapema kuwa atakuja geto kuzugazuga tuh coz hana pakwenda hadi mishale flani atarudi kwao, Yap ratiba ilienda kama ilivyopangwa (namshukuru sana kwasababu alinisave kinoma [emoji120]) na hata msosi alishakula kwao.

Kuhusu maswala ya mbususu usiulize sababu ndio kipaumbele cha kwanza hicho na ililika kweli hadi zilitoka cheche kama zile za Zuchu wa Mondi [emoji23], basi bwana hadi kufikia mishale flani ya night kali nikaona bora nipumzike kidogo coz dogo alinipa uhakika wa kuondoka asubuhi hivyo nikaona nivutevute muda nikiamka mishale huko niendeleze mtanange...

SASA hapa ndipo ulipo uzi wenyew, ile nimelala kininja mida ya saa 8 hivi nasikia mtu ananyofoa nywele zangu kwa nguvu huku ananisikilizia kama nimeamka au bado nimelala... na mimi kwa weledi niliamka na kumsikilizia hadi mwisho wake, basi bwana alifanikiwa kutoa nywele kidogo(huwa sinyoagi nywele mara zote huwa nazichonga tuh) akazifunga kwenye kona ya kitambaa chake kidogo(ushungi) kisha akakausha kimya. kama dakika tano mbele nikaamka zangu kama sijui chochote vile nikaenda haja ndogo nikarudi kuchakata papuchi kiroho mbaya, ilifika asubuhi akaondoka kwao kabla sijamuuliza chochote, na hapa nachat nae na natamani kumuuliza ila naogopa jinsi ya kumuanza...

Sina uhakika anataka kufanyia nini nywele zangu labda mnisaidie ndugu zangu nimuwahi kabla hajaniwahi naimani humu kuna wajuzi wa mambo ya ulozi na ndio kitu nahofia coz hawa ndugu zetu hawaelewekagi sometimes.
Bila picha hii ni chai ya tangawizi
 
𝐇𝐚𝐫𝐚𝐟𝐮 𝐧𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐝𝐞𝐦𝐮 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐭𝐮 𝐰𝐚 𝐬𝐮𝐦𝐛𝐚𝐰𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐮𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐥𝐢𝐣𝐮𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐥𝐨, 𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡,( 𝐣𝐨𝐤𝐞𝐬)
ndio michezo yao kunyofoa nywele? 🤔
 
ndugu yangu wanawake ni werevu sana kushinda sisi..huwezi amini mimi kuna wanawake wawili hao niliwaamini sana kudadadeki kumbe walikua wananiloga natuma hela mpaka nachanyikiwa.

Hapo mzee baba hesabu maumivu na mbaya zaid ukilogwa haujitambui mpaka atokee mtu akutoe kwenye hilo dimbwi.

Wanawake wengi wapo vizur kwenye suala la ulozi
 
Back
Top Bottom