Ushauri: Ameniacha na hofu hapa, sijamuelewa kabisa

๐‡๐š๐ซ๐š๐Ÿ๐ฎ ๐ง๐š๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐๐ž๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ฌ๐ฎ๐ฆ๐›๐š๐ฐ๐š๐ง๐ ๐š ๐ฌ๐ข๐ฃ๐ฎ๐ข ๐ฎ๐ง๐š๐ฅ๐ข๐ฃ๐ฎ๐ฐ๐š ๐ก๐ข๐ฅ๐จ, ๐ก๐š๐ก๐š๐ก๐š๐ก๐š๐ก,( ๐ฃ๐จ๐ค๐ž๐ฌ)
 
Bila picha hii ni chai ya tangawizi
 
ndio michezo yao kunyofoa nywele? ๐Ÿค”
 
ndugu yangu wanawake ni werevu sana kushinda sisi..huwezi amini mimi kuna wanawake wawili hao niliwaamini sana kudadadeki kumbe walikua wananiloga natuma hela mpaka nachanyikiwa.

Hapo mzee baba hesabu maumivu na mbaya zaid ukilogwa haujitambui mpaka atokee mtu akutoe kwenye hilo dimbwi.

Wanawake wengi wapo vizur kwenye suala la ulozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ