Ushauri: Anadai Akishanipa penzi lake tuachane... πŸ’‘

Alieuziwa cheni bandia katoa pesa bandia
 

Acha Kunisingizia
 
Ikimbie zinaa usijidai kuikemia inakuzidi nguvu..
 
Huyo atakuwa wa kawaida ndio maana unamletea, kama angekuwa na fungu mbili
 
Acha Kunisingizia
Nikusingizie ili nipate nini kaka. kwann hutaki kujikubali na hali yako? jikubali kwanza then taratibu ukila vizuri, mazoezi ya kutosha na kumuomba mungu.. unaweza pata hizo nguvu za kiume na kuweza ksimamisha huo uume na huyo demu atakurudia tu.
 
Nikusingizie ili nipate nini kaka. kwann hutaki kujikubali na hali yako? jikubali kwanza then taratibu ukila vizuri, mazoezi ya kutosha na kumuomba mungu.. unaweza pata hizo nguvu za kiume na kuweza ksimamisha huo uume na huyo demu atakurudia tu.
Kijana una matatizo ww
 
ukapewe kiinua mgongo (HIV)
 
Tunza mwili wako kijana, sio kila mtu anafaa kuvuliwa nguo.
 
Kwa dizaini hii ngwengwe itachukua mda sana kutokomea. "Nakupa penzi then kila mtu achukue 50 zake"...
 
Unawapotezea mda wadada wa watu kwa ahadi zako za kijinga! 7 wote wa nini? Wakati hata mmoja kumla unataka tukushauri
 
Hivi mwanaume utakuwaje na wanawake wote hao 7, huo ufisadi wa kiwango cha juu
 
ana matatizo ya nguvu ya kiume huyo.. Hasimamishi. kwenye ID yake nyingine alikuwa naomba msaada wakupatiwa dawa maana anaogopa KUACHWA NA DEMU WAKE[/QUOTED ]
Iseme hio ID
 
Ujinga Tu Umekutawala Bichwa Maji Wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…