Mruma J
Senior Member
- Jan 27, 2018
- 123
- 82
Kwahyo kama yupo fom 4 ana miaka 19 unaruhusiwa kumpa mimba?Hakuna kesi ya kumpa mwanafunzi mimba, kuna kesi ya ubakaji na hii inakuja baada ya kumpa mwanafunzi mimba mwenye miaka chini ya miaka 18.
Ongea kwa kufikiri ndugu pia kumbuka kuna wanafunzi wanamaliza la saba na miaka 15 hivyo 16 fom 1, 17 fom 2, 18 fom 3 na 19 fom 4 kwahyo huyu ukimpa mimba nihaki coz ni 18s?
Natamani ningekua huko ningenunua hii kesi nimfunge anye