Kwahyo kama yupo fom 4 ana miaka 19 unaruhusiwa kumpa mimba?
Ongea kwa kufikiri ndugu pia kumbuka kuna wanafunzi wanamaliza la saba na miaka 15 hivyo 16 fom 1, 17 fom 2, 18 fom 3 na 19 fom 4 kwahyo huyu ukimpa mimba nihaki coz ni 18s?
Natamani ningekua huko ningenunua hii kesi nimfunge anye