Ushauri: Anataka nimuoe kwa lazima

Ushauri: Anataka nimuoe kwa lazima

sabau zote ni kama umezitafutiza BAADA YA KUMGEGEDA
 
Hakufai huo ni ukoma kukuloga anaweza usidhani anatisha tu hekima inahitajika sana unapofanya maamuzi ukikosea unaweza umia jitahidi Fanya maandalizi ya chumba kingine mapema bila yeye kujua vilivyomo humo mwachie maana huwezi jua mikoba yake kaweka wapi utaibeba pamoja ikusumbue badili namba ya simu mtelekeze mwambie ninasafari ya wiki mwachie na posho ili asistuke mapema hama hapo atakuua wazazi wako wateseke wanakuangalia sana wewe
Asante mkuu kwa ushauri wako
 
Awali ya yote nikupe pole kwa maswaibu, lakini pili hadi leo hujamwambia kwamba alikudanganya kwamba hana mtoto? Kwa sababu mimi nilifikiri kwamba hicho ndio kingekuwa kigezo cha kwanza cha kumuondolea sifa ya kuwa na wewe. Na kingine usitumie nguvu zako mwenyewe kumtafuta mwenzi wa maisha MWOMBE MUNGU KWA NGUVU ZAKO ZOTE AKUPE MTU WA KUFANANA NA WEWE. HATA HIVYO VITISHO VYA KUKULOGA VITASHINDWA KWA JINA LA YESU.
Asante sana kwa ushauri wako
 
Habari za asubuhi wapendwa,

Natumaini ni Jumatatu nyingine ambapo kila mmoja anajiandaa kwenda katika majukumu ya ujenzi wa taifa basi na Mungu awe pamoja nanyi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kwamba nina mpenzi wangu ambaye nipo nae katika mahusiano si kwa kipind kirefu sana lakini tangu nimekaa nae kwa kipindi hiki kifupi nimegundua mambo mengi sana ambayo yananipa wakati mgumu sana halafu pia anataka nimuoe kwa lazima.

Kwanza; huyu mwanamke ni muongo ambapo amenidanganya vitu vingi ambavyo nimegundua kuwa sio kweli amenidanganya ana dada yake Zanzibar kumbe sio dada yake wa kuzaliwa nae kumbe yule dada alikuwa ni mfanyakazi wa ndani.

Pili; huyu mwanamke ni 'single mother' nimekuja kugundua kuwa ni 'single mother' baada ya kuambiwa na yule boss wake alipokuwa akifanya kazi Zanzibar halafu kwangu anapretend kuwa hana mtoto.

Tatu; huyu mwanamke ana majini.Iko hivi mimi sio mnywaji pombe ila jana wakati natoka kazini nilimkuta yupo na dada mmoja amenitambulisha kuwa ni dada yake lakini mimi sijaamini kwa sababu ameshakuwa ni mwongo sasa baada kuona vile nikaenda kwenye grosary moja jirani nikachukua kinywaji chenye kilevi basi nikarudi nyumbani ile nafika tuu hamwezi kuamini alipandisha majini.

Nne; amekaa kwangu almost week tatu sasa amekuja kwangu binafsi mimi ni msela, sjaoa na nilikuwa sina mpango wa kuoa sasa hataki kuondoka na ananitishia kuniloga, nimemwambia kuwa akafanye anachotaka.

Ushauri wako ni muhimu sana kwangu maana nipo katika wakati mgumu, tafadhalini sana sihitaji matusi wala kebehi.

Asanteni sana na Mungu awatangulie katika njia zenu.
Jinsi ya kumfukuza jifanye umepandisha majini tena hayo majini yawe yanataka kufanya ngono tu siku nzima utaondoka kesho yake kama siyo usiku huo huo
 
Habari za asubuhi wapendwa,

Natumaini ni Jumatatu nyingine ambapo kila mmoja anajiandaa kwenda katika majukumu ya ujenzi wa taifa basi na Mungu awe pamoja nanyi.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kwamba nina mpenzi wangu ambaye nipo nae katika mahusiano si kwa kipind kirefu sana lakini tangu nimekaa nae kwa kipindi hiki kifupi nimegundua mambo mengi sana ambayo yananipa wakati mgumu sana halafu pia anataka nimuoe kwa lazima.

Kwanza; huyu mwanamke ni muongo ambapo amenidanganya vitu vingi ambavyo nimegundua kuwa sio kweli amenidanganya ana dada yake Zanzibar kumbe sio dada yake wa kuzaliwa nae kumbe yule dada alikuwa ni mfanyakazi wa ndani.

Pili; huyu mwanamke ni 'single mother' nimekuja kugundua kuwa ni 'single mother' baada ya kuambiwa na yule boss wake alipokuwa akifanya kazi Zanzibar halafu kwangu anapretend kuwa hana mtoto.

Tatu; huyu mwanamke ana majini.Iko hivi mimi sio mnywaji pombe ila jana wakati natoka kazini nilimkuta yupo na dada mmoja amenitambulisha kuwa ni dada yake lakini mimi sijaamini kwa sababu ameshakuwa ni mwongo sasa baada kuona vile nikaenda kwenye grosary moja jirani nikachukua kinywaji chenye kilevi basi nikarudi nyumbani ile nafika tuu hamwezi kuamini alipandisha majini.

Nne; amekaa kwangu almost week tatu sasa amekuja kwangu binafsi mimi ni msela, sjaoa na nilikuwa sina mpango wa kuoa sasa hataki kuondoka na ananitishia kuniloga, nimemwambia kuwa akafanye anachotaka.

Ushauri wako ni muhimu sana kwangu maana nipo katika wakati mgumu, tafadhalini sana sihitaji matusi wala kebehi.

Asanteni sana na Mungu awatangulie katika njia zenu.
 
Back
Top Bottom