Ushauri: Anaumwa na kichwa akimaliza kufanya mapenzi

Miss Bunyeta

Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
70
Reaction score
14
Nina mdogo wangu wa damu kabisaa ananifata ambaye ameolewa,jana kaja kwangu ananiomba nimshauri na tatizo lenyewe nii."

Akisex na mumewe wanafanya vizuri inapofikia mumewe ana ejaculate.Sasa yule bwana anaumwa kichwa cha ajabu mno kuanzia anapotaka kuejaculate mpaka dakika kumi baada ya sex".

Anasema hii hali haikuwepo imeanza kama miezi iliopita afanyeje, anaogopa asije mfia kifuani akaishia rumande na watoto bado wadogo sana.

Nawakilisha pliase ni story ya kweli naomba msaada.
 
Akapime hospitali,kiwango cha damu na BP,sanjal na magonjwa mengine,lakin pia aangalie kiwango chake cha maji mwilini
 
Jibu lipo wazi hebu akimbie chap chap hospital huko watamjuza zaid nin hua kinamsumbua
 
1. Afanye masterbation halafu aone what wilk happen.
2. Ameze panadol 2 masaa 2 kabla ya tendo then aangalie kama itaendelea kutokea.
3. Akapime wingi wa damu na pressure.
4. Uniletee majibu ya 1 to 3 yakiwa tayari.
 
1. Afanye masterbation halafu aone what wilk happen.
2. Ameze panadol 2 masaa 2 kabla ya tendo then aangalie kama itaendelea kutokea.
3. Akapime wingi wa damu na pressure.
4. Uniletee majibu ya 1 to 3 yakiwa tayari.

Asante saana mkuu so i will do n i will get back to you
 
#Bunyeta aisee mpe pole mdogo wako, badala waende kwa daktari anakuja kwako, siri za chumbani zero
 
Au muulize kama bwanake anatumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume. Kuna wengine yanawapa hali hiyo coz madawa yanalazimisha mwili kufanya kazi isiyo kawaida, so hiyo ni mojawapo ya side effects
 
au muulize kama bwanake anatumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume. Kuna wengine yanawapa hali hiyo coz madawa yanalazimisha mwili kufanya kazi isiyo kawaida, so hiyo ni mojawapo ya side effects

I asked her mwanzon kbs alivyoanza kunieleza kasema hatumii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…