Ushauri: Anayeifahamu vizuri Toyota Prius

kilambimkwidu

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
6,097
Reaction score
7,199
Naomba ushauri wataalam. Nina bajeti ya Tsh 11.4 milioni nahitaji gari ya kunisaidia kwenye shughuli za mbalimbali. Kwa sasa nijihusisha zaidi na kazi ya udalali wa mifugo minada ya mkoa wa Manyara na Arusha

 
Ni gari nzuri ila bei ya kuagiza andaa milion 12.2 km utaagiza mwenyewe bila ya agent ,zingatia ambayo ina low mile , km ina high miles hakikisha imefanyiwa replacement ya lithium betry yake

sent from HUAWEI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…