kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Naomba ushauri wataalam. Nina bajeti ya Tsh 11.4 milioni nahitaji gari ya kunisaidia kwenye shughuli za mbalimbali. Kwa sasa nijihusisha zaidi na kazi ya udalali wa mifugo minada ya mkoa wa Manyara na Arusha