themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Kwa mlio wahi kuzitumia naombeni mnitoe tongotongo, maana nimeziona mara nyingi na nikavutiwa nazo
nachotaka kujua Brand gani ni imara,Na zinaweza kwenda umbali gani bila kuchajiwa, changamoto zake ni zipi pia
nachotaka kujua Brand gani ni imara,Na zinaweza kwenda umbali gani bila kuchajiwa, changamoto zake ni zipi pia