Ushauri: Askofu Gwajima aanzishe Chama cha Siasa

Ushauri: Askofu Gwajima aanzishe Chama cha Siasa

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Ni wazi kabisa kwa Askofu Gwajima anatakiwa aanzishe chama cha siasa badala ya kujifanya anahubiri dini. Hii ni wiki ya 3 mfulilizo kwa huyu Mbunge wa CCM anatoa kauli ya kupingana na Mwenyekiti kiti wa CCM na jopo la wataalamu katika masuala ya chanjo ya Covid 19.

Inavyoonekana Askofu Gwajima anatekeleza mawazo ya wafadhili wake wa huko Marekani katika kupotosha watanzania kuhusu chanjo hii.

Serikali isifumbie macho kauli ya Askofu Gwajima na ikiwezekana kulifuta kabisa kanisa lake. Hakuna kiongozi yeyote wa kidini katika nchi jirani zetu aliyejaribu kuhamasisha waumini wake wasichanjwe.
 
Jiulize Gwajima afanye hivyo kwa faida gani?
Eti wafadhilli wanamtuma halafu?
Weka halafu hata kumi then tafakri?

Gwajima kajitolea kusema ukweli!
Gwajima anakuuliza hiyo chanjo ya bure na misaada juu inalengo gani?
 
Hakuna haja ya kuanzisha Chama cha Siasa

Alipewa Ubunge tukijua ni kiongozi wa dini na ana haki ya kuwa na mawazo tofauti

Gwajima kwa hili kajitofautisha sana na wengi ambao kwao Msimamo wa Rais ndio msimamo wao, Rais akisema Chanjo hazifai tunaunga mkono akisema zinafaa tunaunga mkono, akisema tuvae barakoa tunaunga Mkono, akisema tuvue barakoa tunaunga Mkono

Kuna wengi wamechanja ili wasipoteze ajira zao lakin hawajaridhia kwa hiyari yao.

Kama kuna eneo lenye wafanyakazi bright zaid Dunian kwa sasa ni Microsoft kwa bill gate kwenyewe lakin wamegomea chanjo hadi wametishiwa kufukuzwa kazi wasipichanja halafu wewe wa Kaliua Tabora sijui Ileje unashangaa watu wakiwa na wasiwasi na hizi sindano a.k.a chanjo.

Chanjo hii inapingwa kila sehemu Duniani kwa hoja madhubuti na ndio sababu baada ya hoja kukosa majibu sasa hivi Marekani wanachanja watu kwa rushwa ya dola mia kila anaechanja.

Watu wengi tu wapo kwny oxygen hoi bin taaban kwa corona na zaid ya 52% tayari wana full doze ya corona.

Waliochanja watuambie chanjo ya corona ni for life au ni ya muda kama ile ya Yellow fever for 10 years unatakiwa ukachanje tena?

Hii ni chanjo dhidi ya corona au ni sindano ya kupunguza madhara ya corona kama ilivyo ARV kwny Ukimwi?

Unachanja lakin bado unaweza ukaambukiza, ukaambukizwa na bado unatakiwa kuchukua tahadhari zote kama asie chanja?
 
Jiulize gwajima afanye hivyo kwa faida gani?
Eti wafadhilli wanamtuma halafu??..
Mkuu huko Marekani kanisa la walokole wanaendesha kampeni dhidi ya chanjo ya Covid-19. Siwezi kuona cha ajabu kanisa la Gwajima ikifanya kampeni kwa niaba ya walokole wa Marekani
 
Ni wazi kabisa kwa Askofu Gwajima anatakiwa aanzishe chama cha siasa badala ya kujifanya anahubiri dini. Hii ni wiki ya 3 mfulilizo kwa huyu Mbunge wa CCM anatoa kauli ya kupingana na Mwenyekiti kiti wa CCM na jopo la wataalamu katika masuala ya chanjo ya Covid 19. Inavyoonekana Askofu Gwajima anatekeleza mawazo ya wafadhili wake wa huko Marekani katika kupotosha watanzania kuhusu chanjo hii. Serikali isifumbie macho kauli ya Askofu Gwajima na ikiwezekana kulifuta kabisa kanisa lake. Hakuna kiongozi yeyote wa kidini katika nchi jirani zetu aliyejaribu kuhamasisha waumini wake wasichanjwe.
Na Bagonza, Shoo, Kitima, Mwamakula na Msigwa waanzishe vyao bila kusahau Ponda
 
Ni wazi kabisa kwa Askofu Gwajima anatakiwa aanzishe chama cha siasa badala ya kujifanya anahubiri dini. Hii ni wiki ya 3 mfulilizo kwa huyu Mbunge wa CCM anatoa kauli ya kupingana na Mwenyekiti kiti wa CCM na jopo la wataalamu katika masuala ya chanjo ya Covid 19.

Inavyoonekana Askofu Gwajima anatekeleza mawazo ya wafadhili wake wa huko Marekani katika kupotosha watanzania kuhusu chanjo hii.

Serikali isifumbie macho kauli ya Askofu Gwajima na ikiwezekana kulifuta kabisa kanisa lake. Hakuna kiongozi yeyote wa kidini katika nchi jirani zetu aliyejaribu kuhamasisha waumini wake wasichanjwe.
kanisa la wasabato pia haliungi mkono chanjo hiyo wala si gwajima pekee, imesemwa chanjo ni hiari kwa nini wanaoikosoa muwaone wahalifu, wewe na wenzio inaowapendeza chanjeni kwa wingi na kwa kujirudiarudia kadri muwezavyo, hakuna atakae wauliza.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Ni wazi kabisa kwa Askofu Gwajima anatakiwa aanzishe chama cha siasa badala ya kujifanya anahubiri dini. Hii ni wiki ya 3 mfulilizo kwa huyu Mbunge wa CCM anatoa kauli ya kupingana na Mwenyekiti kiti wa CCM na jopo la wataalamu katika masuala ya chanjo ya Covid 19.

Inavyoonekana Askofu Gwajima anatekeleza mawazo ya wafadhili wake wa huko Marekani katika kupotosha watanzania kuhusu chanjo hii.

Serikali isifumbie macho kauli ya Askofu Gwajima na ikiwezekana kulifuta kabisa kanisa lake. Hakuna kiongozi yeyote wa kidini katika nchi jirani zetu aliyejaribu kuhamasisha waumini wake wasichanjwe.
Bogus kweli wewe...unaleta habari ya mawazo ya mwenyekiti kwenye science..?...hii dunia ina vilaza wa kutosha....
Covid-19 haina mambo ya mwenyekiti.....kama unadhani una ubavu wa kumjibu Gwajima kisayansi...mjibu otherwise kaa kwa kutulia.
 
Ni wazi kabisa kwa Askofu Gwajima anatakiwa aanzishe chama cha siasa badala ya kujifanya anahubiri dini. Hii ni wiki ya 3 mfulilizo kwa huyu Mbunge wa CCM anatoa kauli ya kupingana na Mwenyekiti kiti wa CCM na jopo la wataalamu katika masuala ya chanjo ya Covid 19.

Inavyoonekana Askofu Gwajima anatekeleza mawazo ya wafadhili wake wa huko Marekani katika kupotosha watanzania kuhusu chanjo hii.

Serikali isifumbie macho kauli ya Askofu Gwajima na ikiwezekana kulifuta kabisa kanisa lake. Hakuna kiongozi yeyote wa kidini katika nchi jirani zetu aliyejaribu kuhamasisha waumini wake wasichanjwe.

Hapana! Abakie humo humo!
 
Ni wazi kabisa kwa Askofu Gwajima anatakiwa aanzishe chama cha siasa badala ya kujifanya anahubiri dini. Hii ni wiki ya 3 mfulilizo kwa huyu Mbunge wa CCM anatoa kauli ya kupingana na Mwenyekiti kiti wa CCM na jopo la wataalamu katika masuala ya chanjo ya Covid 19.

Inavyoonekana Askofu Gwajima anatekeleza mawazo ya wafadhili wake wa huko Marekani katika kupotosha watanzania kuhusu chanjo hii.

Serikali isifumbie macho kauli ya Askofu Gwajima na ikiwezekana kulifuta kabisa kanisa lake. Hakuna kiongozi yeyote wa kidini katika nchi jirani zetu aliyejaribu kuhamasisha waumini wake wasichanjwe.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kumsikiliza Mkono wa baunsa mcheza porno.
 
Bogus kweli wewe...unaleta habari ya mawazo ya mwenyekiti kwenye science..?...hii dunia ina vilaza wa kutosha....
Covid-19 haina mambo ya mwenyekiti.....kama unadhani una ubavu wa kumjibu Gwajima kisayansi...mjibu otherwise kaa kwa kutulia.
Bogus ni wewe unayesikiliza ushauri wa huyo mcheza Porno
 
Ni wazi kabisa kwa Askofu Gwajima anatakiwa aanzishe chama cha siasa badala ya kujifanya anahubiri dini. Hii ni wiki ya 3 mfulilizo kwa huyu Mbunge wa CCM anatoa kauli ya kupingana na Mwenyekiti kiti wa CCM na jopo la wataalamu katika masuala ya chanjo ya Covid 19.

Inavyoonekana Askofu Gwajima anatekeleza mawazo ya wafadhili wake wa huko Marekani katika kupotosha watanzania kuhusu chanjo hii.

Serikali isifumbie macho kauli ya Askofu Gwajima na ikiwezekana kulifuta kabisa kanisa lake. Hakuna kiongozi yeyote wa kidini katika nchi jirani zetu aliyejaribu kuhamasisha waumini wake wasichanjwe.
Huyu ni muuaji. Akili kibaba, lakini anajifanya mjuaji wa kila kitu. Wajinga zaidi ni hao waumini wake. Mtu mwenye akili timamu kabisa huwezi kupoteza muda wako kumsikiliza huyo tapeli wa kufufua watu wasioonekana.
 
Jiulize gwajima afanye hivyo kwa faida gani?
Eti wafadhilli wanamtuma halafu????
Weka halafu hata kumi then tafakri?

Gwajima kajitolea kusema ukweli!
Gwajima anakuuliza hiyo chanjo ya bure na misaada juu inalengo gani?
Utakuwa mjinga wa kuhoji hayo wakati unapokea dawa za bure kutibu TB, Cancer, Ukimwi, chanjo za pepopunda, surua, kifaduro, n.k.

Tapeli Gwajima ataendelea kupotosha watu alimradi wajinga wataendelea kuwepo.
 
Hakuna haja ya kuanzisha Chama cha Siasa

Alipewa Ubunge tukijua ni kiongozi wa dini na ana haki ya kuwa na mawazo tofauti

Gwajima kwa hili kajitofautisha sana na wengi ambao kwao Msimamo wa Rais ndio msimamo wao, Rais akisema Chanjo hazifai tunaunga mkono akisema zinafaa tunaunga mkono, akisema tuvae barakoa tunaunga Mkono, akisema tuvue barakoa tunaunga Mkono

Kuna wengi wamechanja ili wasipoteze ajira zao lakin hawajaridhia kwa hiyari yao


Kama kuna eneo lenye wafanyakazi bright zaid Dunian kwa sasa ni Microsoft kwa bill gate kwenyewe lakin wamegomea chanjo hadi wametishiwa kufukuzwa kazi wasipichanja halafu wewe wa Kaliua Tabora sijui Ileje unashangaa watu wakiwa na wasiwasi na hizi sindano a.k.a chanjo


Chanjo hii inapingwa kila sehemu Duniani kwa hoja madhubuti na ndio sababu baada ya hoja kukosa majibu sasa hivi Marekani wanachanja watu kwa rushwa ya dola mia kila anaechanja

Watu wengi tu wapo kwny oxygen hoi bin taaban kwa corona na zaid ya 52% tayari wana full doze ya corona


Waliochanja watuambie chanjo ya corona ni for life au ni ya muda kama ile ya Yellow fever for 10 years unatakiwa ukachanje tena?

Hii ni chanjo dhidi ya corona au ni sindano ya kupunguza madhara ya corona kama ilivyo ARV kwny Ukimwi?

Unachanja lakin bado unaweza ukaambukiza, ukaambukizwa na bado unatakiwa kuchukua tahadhari zote kama asie chanja?
Soma hiyo ripoti kutoka South Africa ujue faida ya chanjo hii
 
kanisa la wasabato pia haliungi mkono chanjo hiyo wala si gwajima pekee, imesemwa chanjo ni hiari kwa nini wanaoikosoa muwaone wahalifu, wewe na wenzio inaowapendeza chanjeni kwa wingi na kwa kujirudiarudia kadri muwezavyo, hakuna atakae wauliza.
 
Hata Bastola ina faida nyingi sana kama akili yako itaegemea kwny faida tu

Hata Sumu ina faida nyingi sana kama akili yako haitotafakari upande wa pili
Soma hiyo ripoti kutoka South Africa ujue faida ya chanjo hii
 
Bogus kweli wewe...unaleta habari ya mawazo ya mwenyekiti kwenye science..?...hii dunia ina vilaza wa kutosha....
Covid-19 haina mambo ya mwenyekiti.....kama unadhani una ubavu wa kumjibu Gwajima kisayansi...mjibu otherwise kaa kwa kutulia.
Haya pia ni mawazo ya mwenyekiti yalioyoaminiwa na wafuasi wake.
"Corona ni futa tu" - Jiwe 2020
 
Gwajima nI attention seeker, hana tofauti na wasanii wanaotafuta kiki ili wauze kazi zao, Gwajima nae anatafuta waumini now wengi wamekimbilia Kawe.

Gwajima alituambia Corona haitaingia Tanzania, waumini wake wakamshangilia kama kawaida yao, leo Corona ipo Tanzania, sijaona muumini yeyote aliemuuliza askofu wao kwanini aliwadanganya.

Leo anakuja na ujinga mwingine waku-doubt chanjo, anataka kuwaaminisha wajinga maombi yatawaponya, wakati yule baba yao wa maombi alishaondoka.
 
Back
Top Bottom