Ushauri: Azam Media unganeni na Canal Sports mrushe EPL kuleta ushindani

Ushauri: Azam Media unganeni na Canal Sports mrushe EPL kuleta ushindani

Mwl Athumani Ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,280
Reaction score
2,522
Kama azam ikaingia UBIA na canal Sports KWA baadhi ya Chanel's za mpira wa ulaya itapata soko zaidi kuliko sasa.

Kwa soko la Tanzania DStv inawaumiza wapenzi wa soka KWA gharama kubwa Sana hivyo inapaswa ipewe ushindani Ili wananchi wapate huduma Bora.

Azam wanaweza pandisha vifurushi hadi kufika 40000/= KWA mwezi KWA wale wanaotaka ku access Chanel's za epl za canal Sports! Na hiyo ikasaidia wapenzi kulipa KWA urahisi kuliko Sasa hivi ambapo tunalipa 56000/=,91000/=,81000 na 28000/= KWA DStv nchini!

Meneja masoko wa Azam mnaweza mkafikiria hilo KWA msimu ujao au huu unaoendelea na mkapiga pesa coz wapenzi wa soka la bongo tupo sana nchini!

Nawatakia KILA la kheri katika utekelezaji wenu!
 
Unashindwaje kujua kuhusu mkataba wa haki za matangazo ya EPL
Inawezekana we jamaa!kwani kampuni mbili haziwezi ingia mkataba juu ya chanel fulani!!?
Halafu gharama hazipo constant ujue mbona hao canals wapo chini kuliko DStv!!?

INAWEZEKANA KWA MFUMO HUU HAPA;-

EPL INAINGIA mkataba na canal Sports then canal INAINGIA mkataba na Azam media kufidia gharama na ushindani kibiashara!

Simple tu
 
Haiwezekani kwakuwa Canal amepewa haki kurusha matangazo maeneo wanayozungumza Kifaransa tu.

Hizi Canal tunazotumia si unajua tunaibia kutoka kwa ndugu zetu wa Rwanda, Burundi na Congo!
Wakomae tu kwani supersport kwanini bei zao zinatofautiana eneo la maziwa makuu,yaani gharama vifurushi zinatofautiana kenya,Uganda na Tanzania wakati huduma ni zile zile !wanatufanya mazuzu!
 
Hii issue huwa naona inaweza kuwa na mlolongo mrefu zaidi ya tudhaniavyo..

Kuanzia kwa Barclays, uje DSTV, uteremke Canal Sports mpaka uifikie Azam[emoji848][emoji848]

Inawezekana jamaa wanajua, kufanya hivyo wataharibu brand ya ligi pendwa ya Uingereza, ndio maana wanaacha kwa wachache.
 
Hawa canal hawapo kisheria huku Mzee watu wanaingia kijanja tu, hii ishu sa ivi inawaletea shida sana jamaa wa vibanda umiza, Tanzania hapa DStv tu ndo ana sole right ya epl hizo zingine ni janja janja
 
Epl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana

Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake

Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani


Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi

Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua

I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee
Nini unajua kuhusu Premier League Production??..PLTV
 
Sio biashara ya uchuuzi kwamba Kuna wholesale - retail- mpaka kumfikia mteja.

Huwezi kuchukua haki ya kurusha mechi za epl kwa canal hata siku moja...Nenda kwa jamaa wanaohusika moja kwa moja
 
Epl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana

Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake

Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani


Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi

Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua

I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee
Muwekee na gharama za hizo TV rights halafu alone kama Azam anaweza kumtoa dstv
 
Inawezekana we jamaa!kwani kampuni mbili haziwezi ingia mkataba juu ya chanel fulani!!?
Halafu gharama hazipo constant ujue mbona hao canals wapo chini kuliko DStv!!?

INAWEZEKANA KWA MFUMO HUU HAPA;-

EPL INAINGIA mkataba na canal Sports then canal INAINGIA mkataba na Azam media kufidia gharama na ushindani kibiashara!

Simple tu
Ushaambiwa epl kashamuuzia skyports na bt kwa billions ya ££, yaani tzs trillion kadhaa. Katika mikataba yao wameziba hio mianya unayofikiria. Sky na bt wanauza kwa watu kama dstv na dstv wakati ananunua anaweka mikataba ya kumlinda.
 
Epl ni giant aisee sio kilelemama hata DStv anajitahidi, tv rights Hawa bt na sky wanalipa zaidi ya £2M kwa mwaka, karibia trillion 6!! Trillion 6 kwa msimu, jamaa analeta habari za Azam?

Total revenue ya epl kwa msimu ukiweka match day revenues na sponsor deals zote inafika zaidi ya £12M zaidi ya trillion 30! Bajeti ya Tanzania kwa mwaka ni kiasi Gani? Aisee weka mbali na watoto!!

Ndo maana Kuna watu hapa ukiwaambia 'the richest game in football' Kila msimu ni fainali ya championship playoff inayofanyika Wembley inayotafuta timu ya tatu kupanda kwenda epl wanaweza kubisha,yaani hii mshindi anakula pesa ndefu kushinda hata ucl or world cup winner


£170M pounds kibindoni! Hawa wapo level zingine Azam aendelee kuonyesha bundesliga tu
£2B
 
Epl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana

Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake

Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani


Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi

Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua

I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee
Hii taarifa sio sahihi mkuu.

1. Dstv anakaa meza Moja na Epl


Ushahidi huo hapo Dstv analipia mpunga mwingi sana EPL direct.

2. Canal Sport ni Chanel ya Ufaransa ambayo inamilikiwa na Vivendi, ni likampuni kubwa sana Asset zake tu zinafika Trilioni 100 so kusema hawawezi ku Afford hivyo visenti vya Epl ni utani mkuu.

Wewe unachanganya Right za kuonesha EPL Uingereza na za kuonesha Epl nje ya Uingereza.

Uingereza ndio Epl wanaonesha hao kina Sky na BT ukienda Marekani wana NBCSN, Africa kuna DSTV, Bein na Canal, Canada Dazn, Asia ya kusini Super Sport etc.
 
Epl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana

Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake

Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani


Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi

Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua

I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee

Umeeleweka [emoji1531]
 
Back
Top Bottom