Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Kama azam ikaingia UBIA na canal Sports KWA baadhi ya Chanel's za mpira wa ulaya itapata soko zaidi kuliko sasa.
Kwa soko la Tanzania DStv inawaumiza wapenzi wa soka KWA gharama kubwa Sana hivyo inapaswa ipewe ushindani Ili wananchi wapate huduma Bora.
Azam wanaweza pandisha vifurushi hadi kufika 40000/= KWA mwezi KWA wale wanaotaka ku access Chanel's za epl za canal Sports! Na hiyo ikasaidia wapenzi kulipa KWA urahisi kuliko Sasa hivi ambapo tunalipa 56000/=,91000/=,81000 na 28000/= KWA DStv nchini!
Meneja masoko wa Azam mnaweza mkafikiria hilo KWA msimu ujao au huu unaoendelea na mkapiga pesa coz wapenzi wa soka la bongo tupo sana nchini!
Nawatakia KILA la kheri katika utekelezaji wenu!
Kwa soko la Tanzania DStv inawaumiza wapenzi wa soka KWA gharama kubwa Sana hivyo inapaswa ipewe ushindani Ili wananchi wapate huduma Bora.
Azam wanaweza pandisha vifurushi hadi kufika 40000/= KWA mwezi KWA wale wanaotaka ku access Chanel's za epl za canal Sports! Na hiyo ikasaidia wapenzi kulipa KWA urahisi kuliko Sasa hivi ambapo tunalipa 56000/=,91000/=,81000 na 28000/= KWA DStv nchini!
Meneja masoko wa Azam mnaweza mkafikiria hilo KWA msimu ujao au huu unaoendelea na mkapiga pesa coz wapenzi wa soka la bongo tupo sana nchini!
Nawatakia KILA la kheri katika utekelezaji wenu!