Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Inawezekana we jamaa!kwani kampuni mbili haziwezi ingia mkataba juu ya chanel fulani!!?Unashindwaje kujua kuhusu mkataba wa haki za matangazo ya EPL
Haiwezekani kwakuwa Canal amepewa haki kurusha matangazo maeneo wanayozungumza Kifaransa tu.Inawezekana we jamaa!kwani kampuni mbili haziwezi ingia mkataba juu ya chanel fulani!!?
Wakomae tu kwani supersport kwanini bei zao zinatofautiana eneo la maziwa makuu,yaani gharama vifurushi zinatofautiana kenya,Uganda na Tanzania wakati huduma ni zile zile !wanatufanya mazuzu!Haiwezekani kwakuwa Canal amepewa haki kurusha matangazo maeneo wanayozungumza Kifaransa tu.
Hizi Canal tunazotumia si unajua tunaibia kutoka kwa ndugu zetu wa Rwanda, Burundi na Congo!
Nini unajua kuhusu Premier League Production??..PLTVEpl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana
Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake
Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani
Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi
Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua
I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee
Sijui chochote kuhusu Hilo na sioni relevance yake kwa tunachojadilianaNini unajua kuhusu Premier League Production??..PLTV
Muwekee na gharama za hizo TV rights halafu alone kama Azam anaweza kumtoa dstvEpl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana
Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake
Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani
Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi
Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua
I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee
Na skysports pia.Dstv mwenyewe ananunua TV rights kutoka BT sports.
Ushaambiwa epl kashamuuzia skyports na bt kwa billions ya ££, yaani tzs trillion kadhaa. Katika mikataba yao wameziba hio mianya unayofikiria. Sky na bt wanauza kwa watu kama dstv na dstv wakati ananunua anaweka mikataba ya kumlinda.Inawezekana we jamaa!kwani kampuni mbili haziwezi ingia mkataba juu ya chanel fulani!!?
Halafu gharama hazipo constant ujue mbona hao canals wapo chini kuliko DStv!!?
INAWEZEKANA KWA MFUMO HUU HAPA;-
EPL INAINGIA mkataba na canal Sports then canal INAINGIA mkataba na Azam media kufidia gharama na ushindani kibiashara!
Simple tu
£2BEpl ni giant aisee sio kilelemama hata DStv anajitahidi, tv rights Hawa bt na sky wanalipa zaidi ya £2M kwa mwaka, karibia trillion 6!! Trillion 6 kwa msimu, jamaa analeta habari za Azam?
Total revenue ya epl kwa msimu ukiweka match day revenues na sponsor deals zote inafika zaidi ya £12M zaidi ya trillion 30! Bajeti ya Tanzania kwa mwaka ni kiasi Gani? Aisee weka mbali na watoto!!
Ndo maana Kuna watu hapa ukiwaambia 'the richest game in football' Kila msimu ni fainali ya championship playoff inayofanyika Wembley inayotafuta timu ya tatu kupanda kwenda epl wanaweza kubisha,yaani hii mshindi anakula pesa ndefu kushinda hata ucl or world cup winner
£170M pounds kibindoni! Hawa wapo level zingine Azam aendelee kuonyesha bundesliga tu
Hii taarifa sio sahihi mkuu.Epl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana
Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake
Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani
Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi
Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua
I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee
Epl inaingia mkataba na canal sports? Haa we jamaa canal sports akae meza Moja na epl? Hana ubavu huo kijana
Ngoja nikuelezee kwa kifupi, epl anauza mechi zake kwa kampuni mbili tu Duniani kote, sky sports na bt sports tu!! Ndio wenye tv rights za epl Duniani, sasa ishu Iko ivi, mechi anazonunua sky sports, bt sports hauziwi!!! Kwa io Kila mtu ananunua mechi zake
Huwezi Kuta mechi aliyopewa sky sports bt sports nae kapewa, kwa kifupi mechi Moja epl anaiuzia kampuni Moja tu kati ya hao niliowataja, sasa ni jukumu la Hio kampuni kutafta wateja Duniani kote kuwauzia haki za matangazo maana yeye ndo anakua Kama mmiliki wa Hio mechi, kwa io mechi zote za epl kama ukiziona DStv ujue amenunua kutoka sky au bt sports inategemea epl walimpa nani
Sasa Hawa DStv sio wajinga, wanaingia mikataba ambayo itawabana Hawa bt au sky kuuza mechi kwenye zone zao, maana hakuna kampuni inapenda ushindani! Na wao pia wanalipa pesa nyingi sasa watazirudishaje iwapo TV nyingi wanaonyesha hizo mechi
Ujinga ni kua bt na sky sports walishagoma kuuziana mechi so ukiwa nchi kama UK lazima uwe na huduma za kampuni zote mbili yaani bt na sky ili upate full coverage!! Sky sports ndo giant wa tv rights epl ila Kuna mechi nae haoneshi maana unakuta bt ndo kazinunua
I hope umepata mwanga, so kumtokoa DStv sio rahisi kivile mzee