Ushauri - Azam timueni wachezaji wote

Hapo ↑↑↑ Ndipo Ulipoharibu Maudhui Nzima Ya Uzi Wako Coz Hukuuandika Katika Hali Ya Uneutral, Bali Umeuandika Kwa Kuvaa Uyanga!
Yaani Simba Ni Timu Ya Kuungaunga??
Sasa Subiri 1/10 ili ujifunze nini Maana Ya "No one Can Stop Reggae"
Mimi ni mwanasimba niliyejipanga kumuondoa aveva simba , nifuatilie vizuri , siwezi kuficha ukweli kisa simba ni timu yangu , uliza leo pamoja na vitega uchumi vyote kwenye akaunti ya simba kuna tsh ngapi ?
 
Kuhusu singano umemuonea makocha hawampi nafasi hana no ya kudumu ila mm kama simba nafurai kinachompata nikikumbuka alivyoondoka kwa ugomvi
Una roho mbaya sana !
 
Azam kuna tatizo
mimi nilipoona siku ile Mrisho Ngasa anaiponda Azam na akarudi Yanga licha ya kutozwa faini
ndo nikajua Azam kuna tatizo kuubwa
Wachezaji wengine wana gundu tu , sasa huyu Ngassa kule S.Africa nako kuna shida gani ?
 
Tetesi - ushauri wangu unafanyiwa kazi .
 
Nachukua nafasi hii kupongeza uongozi wa Azam Fc kwa kuingia JF na kuchukua ushauri wangu , Mungu ibariki jf .
 
Ushauri umepokelewa , magarasa yote yanachukuliwa na timu yangu ya Simba .
 
Nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…