Ushauri - Azam timueni wachezaji wote

Ushauri - Azam timueni wachezaji wote

Hapo ↑↑↑ Ndipo Ulipoharibu Maudhui Nzima Ya Uzi Wako Coz Hukuuandika Katika Hali Ya Uneutral, Bali Umeuandika Kwa Kuvaa Uyanga!
Yaani Simba Ni Timu Ya Kuungaunga??
Sasa Subiri 1/10 ili ujifunze nini Maana Ya "No one Can Stop Reggae"
Mimi ni mwanasimba niliyejipanga kumuondoa aveva simba , nifuatilie vizuri , siwezi kuficha ukweli kisa simba ni timu yangu , uliza leo pamoja na vitega uchumi vyote kwenye akaunti ya simba kuna tsh ngapi ?
 
Kuhusu singano umemuonea makocha hawampi nafasi hana no ya kudumu ila mm kama simba nafurai kinachompata nikikumbuka alivyoondoka kwa ugomvi
Una roho mbaya sana !
 
Azam kuna tatizo
mimi nilipoona siku ile Mrisho Ngasa anaiponda Azam na akarudi Yanga licha ya kutozwa faini
ndo nikajua Azam kuna tatizo kuubwa
Wachezaji wengine wana gundu tu , sasa huyu Ngassa kule S.Africa nako kuna shida gani ?
 
Sifahamu sheria za soka zinasemaje kuhusu hili , lakini ni wazi kwamba wachezaji wa Azam wanaidhulumu timu yao , hawastahili kufungwa kizembe namna kama wafanyavyo , ni wachezaji wanaopewa karibu kila kitu muhimu kuliko wachezaji wa timu karibu zote za ligi ya Vodacom .

Nini kinachowafanya wafungwe na timu za kuungaunga kama Ndanda na Simba ?

Kuna haja ya uongozi wa timu hii kutafuta watu wengine kabisa , watakaoitumikia timu hii kwa moyo na kwa uaminifu kuliko hawa akina John Boko & co.

Hivi kuna tofauti gani kati ya Azam na TP Mazembe tukilinganisha TREATMENT wanazopewa wachezaji ? Kwanini timu hii inaburuzwa na timu mbovu zisizokuwa hata na posho za uhakika ?

Si bure ! mwanzo nilijua tatizo ni makocha , lakini sasa nimetambua kwamba tatizo kubwa la timu hii ni wachezaji , ambao kuingia kwao Azam ni kama wamemaliza kila kitu , yuko wapi RAMADHANI SINGANO ? Kabweteka baada ya kufanikiwa !
Tetesi - ushauri wangu unafanyiwa kazi .
 
Sifahamu sheria za soka zinasemaje kuhusu hili , lakini ni wazi kwamba wachezaji wa Azam wanaidhulumu timu yao , hawastahili kufungwa kizembe namna kama wafanyavyo , ni wachezaji wanaopewa karibu kila kitu muhimu kuliko wachezaji wa timu karibu zote za ligi ya Vodacom .

Nini kinachowafanya wafungwe na timu za kuungaunga kama Ndanda na Simba ?

Kuna haja ya uongozi wa timu hii kutafuta watu wengine kabisa , watakaoitumikia timu hii kwa moyo na kwa uaminifu kuliko hawa akina John Boko & co.

Hivi kuna tofauti gani kati ya Azam na TP Mazembe tukilinganisha TREATMENT wanazopewa wachezaji ? Kwanini timu hii inaburuzwa na timu mbovu zisizokuwa hata na posho za uhakika ?

Si bure ! mwanzo nilijua tatizo ni makocha , lakini sasa nimetambua kwamba tatizo kubwa la timu hii ni wachezaji , ambao kuingia kwao Azam ni kama wamemaliza kila kitu , yuko wapi RAMADHANI SINGANO ? Kabweteka baada ya kufanikiwa !
Nachukua nafasi hii kupongeza uongozi wa Azam Fc kwa kuingia JF na kuchukua ushauri wangu , Mungu ibariki jf .
 
Iv kuna team gani hapa Bongo ina facilities za maana kama Azam. Imefika mpaka wamejengewa viwanja viwili vya mazoezi. Smooth Ground na rough ground, Hostels za wachezaji NK. Kama ni mashabiki huwa wanaruhusiwa kuingia bure Chamanzi pale. Nini tena kinahitajika hapo...
Ushauri umepokelewa , magarasa yote yanachukuliwa na timu yangu ya Simba .
 
Sifahamu sheria za soka zinasemaje kuhusu hili , lakini ni wazi kwamba wachezaji wa Azam wanaidhulumu timu yao , hawastahili kufungwa kizembe namna kama wafanyavyo , ni wachezaji wanaopewa karibu kila kitu muhimu kuliko wachezaji wa timu karibu zote za ligi ya Vodacom .

Nini kinachowafanya wafungwe na timu za kuungaunga kama Ndanda na Simba ?

Kuna haja ya uongozi wa timu hii kutafuta watu wengine kabisa , watakaoitumikia timu hii kwa moyo na kwa uaminifu kuliko hawa akina John Boko & co.

Hivi kuna tofauti gani kati ya Azam na TP Mazembe tukilinganisha TREATMENT wanazopewa wachezaji ? Kwanini timu hii inaburuzwa na timu mbovu zisizokuwa hata na posho za uhakika ?

Si bure ! mwanzo nilijua tatizo ni makocha , lakini sasa nimetambua kwamba tatizo kubwa la timu hii ni wachezaji , ambao kuingia kwao Azam ni kama wamemaliza kila kitu , yuko wapi RAMADHANI SINGANO ? Kabweteka baada ya kufanikiwa !
Nakazia
 
Back
Top Bottom