Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sifahamu sheria za soka zinasemaje kuhusu hili , lakini ni wazi kwamba wachezaji wa Azam wanaidhulumu timu yao , hawastahili kufungwa kizembe namna kama wafanyavyo , ni wachezaji wanaopewa karibu kila kitu muhimu kuliko wachezaji wa timu karibu zote za ligi ya Vodacom .
Nini kinachowafanya wafungwe na timu za kuungaunga kama Ndanda na Simba ?
Kuna haja ya uongozi wa timu hii kutafuta watu wengine kabisa , watakaoitumikia timu hii kwa moyo na kwa uaminifu kuliko hawa akina John Boko & co.
Hivi kuna tofauti gani kati ya Azam na TP Mazembe tukilinganisha TREATMENT wanazopewa wachezaji ? Kwanini timu hii inaburuzwa na timu mbovu zisizokuwa hata na posho za uhakika ?
Si bure ! mwanzo nilijua tatizo ni makocha , lakini sasa nimetambua kwamba tatizo kubwa la timu hii ni wachezaji , ambao kuingia kwao Azam ni kama wamemaliza kila kitu , yuko wapi RAMADHANI SINGANO ? Kabweteka baada ya kufanikiwa !
Nini kinachowafanya wafungwe na timu za kuungaunga kama Ndanda na Simba ?
Kuna haja ya uongozi wa timu hii kutafuta watu wengine kabisa , watakaoitumikia timu hii kwa moyo na kwa uaminifu kuliko hawa akina John Boko & co.
Hivi kuna tofauti gani kati ya Azam na TP Mazembe tukilinganisha TREATMENT wanazopewa wachezaji ? Kwanini timu hii inaburuzwa na timu mbovu zisizokuwa hata na posho za uhakika ?
Si bure ! mwanzo nilijua tatizo ni makocha , lakini sasa nimetambua kwamba tatizo kubwa la timu hii ni wachezaji , ambao kuingia kwao Azam ni kama wamemaliza kila kitu , yuko wapi RAMADHANI SINGANO ? Kabweteka baada ya kufanikiwa !