Ushauri: Azam Tv angalieni watangazaji wenu hasa kwenye uchambuzi wa mpira

Ushauri: Azam Tv angalieni watangazaji wenu hasa kwenye uchambuzi wa mpira

alexander paulo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
492
Reaction score
155
Katika siku za hivi karibuni kumetokea wachambuzi wengi katika soka letu la Tanzania, ambapo wengi wao wanatumia forum ya Azam Tv katika kujitafutia umaarufu wakati katika jamii ni watu ambao wanafadhahisha sana jamii katika maeneo yao ya kila siku , ushauri unapikelewa au kukataliwa, angalieni Nyenendo za mchambuzi wenu DOMINICK SALAMBA nawapa pongezi kwa kumfukuza katika mechi ya Tanzania na Tunisia, kwa tabia zake chafu lakini bado mnabeba, huyu pia ni afisa mazingira wawekezaji wanamfahamu kwa tabia zake haya kazi kwenu kuendelea naye au kuichafua brand yenu ya AzamTv
 
Katika siku za hivi karibuni kumetokea wachambuzi wengi katika soka letu la Tanzania, ambapo wengi wao wanatumia forum ya Azam Tv katika kujitafutia umaarufu wakati katika jamii ni watu ambao wanafadhahisha sana jamii katika maeneo yao ya kila siku , ushauri unapikelewa au kukataliwa, angalieni Nyenendo za mchambuzi wenu DOMINICK SALAMBA nawapa pongezi kwa kumfukuza katika mechi ya Tanzania na Tunisia, kwa tabia zake chafu lakini bado mnabeba, huyu pia ni afisa mazingira wawekezaji wanamfahamu kwa tabia zake haya kazi kwenu kuendelea naye au kuichafua brand yenu ya AzamTv
Naona kaharufu ka chuki binafsi!
 
Katika siku za hivi karibuni kumetokea wachambuzi wengi katika soka letu la Tanzania, ambapo wengi wao wanatumia forum ya Azam Tv katika kujitafutia umaarufu wakati katika jamii ni watu ambao wanafadhahisha sana jamii katika maeneo yao ya kila siku , ushauri unapikelewa au kukataliwa, angalieni Nyenendo za mchambuzi wenu DOMINICK SALAMBA nawapa pongezi kwa kumfukuza katika mechi ya Tanzania na Tunisia, kwa tabia zake chafu lakini bado mnabeba, huyu pia ni afisa mazingira wawekezaji wanamfahamu kwa tabia zake haya kazi kwenu kuendelea naye au kuichafua brand yenu ya AzamTv
Peleka jukwaa la michezo, humu sio mahara pake
 
Nje ya Mada.

Hivi yule aliyekua mshambuliaji wa Simba Adam Salamba yuko wapi wazee?
 
Hii siyo harufu tu ni uvundo. Yaani kosa la Salamba ni lipi Labda atueleze!! Watu wengine hawawezi kuficha ujinga hata wakiwa stendi ya basi?
Huyu ni msukuma msamehe bureee
 
Kafanyaje mbona unaleta habari roborobo , fafanua vizur
 
ulivyo na roho mbaya umeona noma hata kutaja kosa lake. Tafuta hela kijana acha wivu wa kike utavishwa cheni ya kiuno
 
Back
Top Bottom