pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
Wakuu habarini,
Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu, wakati huo nishampatia mimba.
Hivi karibuni baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja cha million 1.5 -2, cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja cha Bure tujenge mimi na mwanae wa kike, ili hiyo pesa niliyotaka kununulia kiwanja tuweke kwenye ujenzi.
Mpaka sasa hivi nimesita kwanza kujenga hicho kiwanja, ninahofia siku tukikosana au kuachana na mtoto wake itakuwaje na nishajenga nyumba pale?
Wakuu naombeni mnishauri, nijenge au niache kiwanja? Maana kipo katikakati ya mji na amesema tukijenge.
Kuhusu maisha ya baba mkwe yeye yupo vizuri kwani ni msitaafu, hana shida kabisa. Watoto wake karibu wote wapo serikalini.
Ushauri wenu wa muhimu sana, karbuni.
Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu, wakati huo nishampatia mimba.
Hivi karibuni baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja cha million 1.5 -2, cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja cha Bure tujenge mimi na mwanae wa kike, ili hiyo pesa niliyotaka kununulia kiwanja tuweke kwenye ujenzi.
Mpaka sasa hivi nimesita kwanza kujenga hicho kiwanja, ninahofia siku tukikosana au kuachana na mtoto wake itakuwaje na nishajenga nyumba pale?
Wakuu naombeni mnishauri, nijenge au niache kiwanja? Maana kipo katikakati ya mji na amesema tukijenge.
Kuhusu maisha ya baba mkwe yeye yupo vizuri kwani ni msitaafu, hana shida kabisa. Watoto wake karibu wote wapo serikalini.
Ushauri wenu wa muhimu sana, karbuni.