Ushauri: Baba mkwe katupa kiwanja nijenge na mwanaye wa kike. Ninasita, nikubali au niache sababu naingia mtegoni?

Ushauri: Baba mkwe katupa kiwanja nijenge na mwanaye wa kike. Ninasita, nikubali au niache sababu naingia mtegoni?

Wakuu habarini!!
Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu,wakati huo nishampatia mimba,
Hivi karibuni Baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja Cha million 1.5 -2.
Cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja Cha Bure tujenge Mimi na mwanae wa kike...ila hiyo pesa tuweke kwenye ujenzi ..
Mpka sshv nimesita kwanza kujenga hicho kiwanja...naofoa siku tukikosana au kuachana na mtoto wake itakuwaje na nishajenga nyumba pale
Wakuu naombeni mnishauri ..nijenge au niache kiwanja...make kipo katikakati ya mji..na amesema tukijenge ... kuhusu maisha yake yeye yupo vzr..Kwan ni msitaafu Hana shida kabisa.watoto wake karb wote wapo serikalini,ushauri wenu wa muhimu sana karbuni
Jenga kwenye hicho kiwanja,halafu nunua kiwanja kingine jenga na baadae nunua kiwanja kingine jenga. Mkikorofishana na mkeo muachie akae na watoto wako hapo.
 
Wakuu habarini!!
Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu,wakati huo nishampatia mimba,
Hivi karibuni Baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja Cha million 1.5 -2.
Cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja Cha Bure tujenge Mimi na mwanae wa kike...ila hiyo pesa tuweke kwenye ujenzi ..
Mpka sshv nimesita kwanza kujenga hicho kiwanja...naofoa siku tukikosana au kuachana na mtoto wake itakuwaje na nishajenga nyumba pale
Wakuu naombeni mnishauri ..nijenge au niache kiwanja...make kipo katikakati ya mji..na amesema tukijenge ... kuhusu maisha yake yeye yupo vzr..Kwan ni msitaafu Hana shida kabisa.watoto wake karb wote wapo serikalini,ushauri wenu wa muhimu sana karbuni
Mkuu nisikilize mimi haya mambo ya kupewa zawadi sijui ya kiwanja au nyumba ina-cost sana

Sawa mtoaji ameona inafaa kutoa but kumbuka ametoa kwa sababu mwanae atalala hapo,lakini baadae itageuka fimbo moja kali sana kwa jamaa pale atakapoambiwa na mkewe “mwanaume gani unaishi ukweni”
Ushauri wangu kabla ya lolote kwanza HAMISHA UMILIKI WA HICHO KIWANJA TOKA KWA BABA MKWE KUJA KWAKO NA MKEO. Baada ya hapo ndo mambo mengine yaendele kama ni kujenga au kuuza
Yes, anapaswa ahakikishe anafanya UHAMISHO WA MILIKI ya Ardhi hiyo kwanza kabla ya kufanya maendelezo yoyote yale kwenye Ardhi hiyo.

Lazima Ahakikishe kwamba Mkataba wa Mauziano ya Ardhi hiyo (Land Sale Contract) au Hati ya Zawadi (Deed of Gift) inashuhudiwa na Wakili, wasiandikishiane kienyeji. Baada ya hapo anaweza akaendelea kufanya ujenzi kwenye Ardhi hiyo.
 
Pokea hicho kiwanja, then Jenga maisha au Jenga urafiki

Ila usijenge nyumba mkuu... kamwe!
 
Jenga kwenye hicho kiwanja,halafu nunua kiwanja kingine jenga na baadae nunua kiwanja kingine jenga. Mkikorofishana na mkeo muachie akae na watoto wako hapo.
Hii ni nzuri, but believe me hamtodumu kwenye ndoa coz mkigombana kidogo tu utataka umuachie nyumba ukaishi kwenye nyumba yako na uanze maisha yako mengine

Iko hivo, hakuna kitu kinachokosa matumizi mkuu. Hata ukiweka pesa ya emergency basi tegemea emergency lazima itokee ili hiyo hela itumike
 
Wakuu habarini,

Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu, wakati huo nishampatia mimba.

Hivi karibuni baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja cha million 1.5 -2, cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja cha Bure tujenge mimi na mwanae wa kike, ili hiyo pesa niliyotaka kununulia kiwanja tuweke kwenye ujenzi.

Mpaka sasa hivi nimesita kwanza kujenga hicho kiwanja, ninahofia siku tukikosana au kuachana na mtoto wake itakuwaje na nishajenga nyumba pale?

Wakuu naombeni mnishauri, nijenge au niache kiwanja? Maana kipo katikakati ya mji na amesema tukijenge.

Kuhusu maisha ya baba mkwe yeye yupo vizuri kwani ni msitaafu, hana shida kabisa. Watoto wake karibu wote wapo serikalini.

Ushauri wenu wa muhimu sana, karbuni.
Bila shaka huku kutakuwa machame au upareni. Mwanangu umeliwa. Hawa wavivu ndivyo walivyo. Nunua chako tena kwenu au mjini unakotaka kuliko kujenga machame au upareni.
 
Mkuu nisikilize mimi haya mambo ya kupewa zawadi sijui ya kiwanja au nyumba ina-cost sana

Sawa mtoaji ameona inafaa kutoa but kumbuka ametoa kwa sababu mwanae atalala hapo,lakini baadae itageuka fimbo moja kali sana kwa jamaa pale atakapoambiwa na mkewe “mwanaume gani unaishi ukweni”
Akikupa unafata ushauri mnabadili umiliki kuwa wako na mkeo hii inasaidia kuondoa eneo husika kuwa sehemu ya Mali za mkwe ambapo akifariki itabidi igawanywe kwa familia yake
 
Mkuu niliwahi kuuziwa kiwanja kama ulichopewa ww,mfano uniuzie ww uliepewa aisee kidogo kinitoe roho
 
Wakuu habarini,

Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu, wakati huo nishampatia mimba.

Hivi karibuni baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja cha million 1.5 -2, cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja cha Bure tujenge mimi na mwanae wa kike, ili hiyo pesa niliyotaka kununulia kiwanja tuweke kwenye ujenzi.

Mpaka sasa hivi nimesita kwanza kujenga hicho kiwanja, ninahofia siku tukikosana au kuachana na mtoto wake itakuwaje na nishajenga nyumba pale?

Wakuu naombeni mnishauri, nijenge au niache kiwanja? Maana kipo katikakati ya mji na amesema tukijenge.

Kuhusu maisha ya baba mkwe yeye yupo vizuri kwani ni msitaafu, hana shida kabisa. Watoto wake karibu wote wapo serikalini.

Ushauri wenu wa muhimu sana, karbuni.
Threads za vijana waliobalehe juzijuzi utazijua tu.
 
Kama wewe ni muhindi/mwarabu ni sawa.

Ila kama sio, achana na hilo suala! Mwanaume unapaswa uwe na vyako akiwemo “mke wako”.

Usijesema hatukukuonya!
 
Kwahiyo wakati umemuomba kukutafutia kiwanja haukuona watu wengine mfano madalali? Mambo ya familia yako jitahudi uyapambanie. Baba mkwe wako kakuhurumia ndio maana kakupa kiwanja ili mtoto wake asiteseke. Kuwa na amani!
Sasa sijui alikuwa anamuambia ili iweje sasa?!
 
Tatizo lako hauji kwenye vikao,
Hili mbona tulisha litolea maamuzi na linasisitizwa kwenye vikao vingi tu.
Acha utolo
 
Huna baba ama ndugu wa kiume ambaye ungeweza kumwomba akutafutie?

Huoni kama ni kutukana ukoo wako?
Mwenyewe imenishangaza sana, kwamba imekuwaje mambo yake binafsi anamshirikisha baba mkwe?

Ndio maana mzee wa watu akaona isiwe tabu, dogo bado hajakomaa ngoja niwape cha bure.
 
Kwahiyo wakati umemuomba kukutafutia kiwanja haukuona watu wengine mfano madalali? Mambo ya familia yako jitahudi uyapambanie. Baba mkwe wako kakuhurumia ndio maana kakupa kiwanja ili mtoto wake asiteseke. Kuwa na amani!
Katika watu woooote kaona mkwe amtafutie kiwanja
Haya mazoea na wakwe sio poa
 
Wakuu habarini,

Hivi karbuni nimebahatika kufunga ndoa na mke wangu, wakati huo nishampatia mimba.

Hivi karibuni baba mkwe nilimwambia anitaftie kiwanja cha million 1.5 -2, cha kushangaza mzee wa watu akatupa kiwanja cha Bure tujenge mimi na mwanae wa kike, ili hiyo pesa niliyotaka kununulia kiwanja tuweke kwenye ujenzi.

Mpaka sasa hivi nimesita kwanza kujenga hicho kiwanja, ninahofia siku tukikosana au kuachana na mtoto wake itakuwaje na nishajenga nyumba pale?

Wakuu naombeni mnishauri, nijenge au niache kiwanja? Maana kipo katikakati ya mji na amesema tukijenge.

Kuhusu maisha ya baba mkwe yeye yupo vizuri kwani ni msitaafu, hana shida kabisa. Watoto wake karibu wote wapo serikalini.

Ushauri wenu wa muhimu sana, karbuni.
Jenga kwa ajili ya wanao maana hata mkiachana una uhakika kwamba wanao wanapo pa kuishi na wewe utazunguka baadae utarudi hapo hapo maana mnatabia ya kuasi ndoa, mnahangaika na dunia baadae mnarudi kuomba msamaha maisha yanaendea, na kama una uwezo Jenga hiyo baadae Jenga nyingine mbali na pale, ila cha baba mkwe usikiache
 
Back
Top Bottom