Kwa nijuavyo mm mtu wa architecture anabase sana kwenye kudesign..baada ya hapo mchoro atapewa mtu wa civil ili adesign structure..na civil ina uwanja mpana sana..civil unaweza kuspecialize kwenye 1.structure(ie hao ndio wanaodondosha majengo)..2.water resource engineering 3. Highway engineering 4.transportation engineering nk..but pia mtu wa civil anakua na uwezo wa kuchora but hayupo compitent kama wa archtecture..kwa sababu katika kudesign kuna miiko yako na mtu wa architecture anakua yupo deep sana..but pia civil ni habari ya mjini maana ina dili za kufa mtu..(sorry hapo ni kwa upeo wng)