Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Hello Friends,
Nafikiria kuanzisha duka la Urembo na Vipodozi. Nafikira kuuza cosmetics zillizo expensive, za bei ya kati na za bei ya chini.
Ni eneo lipi kati ya MWENGE, MAKUMBUSHO na SINZA ambalo nitapata soko zuri na biashara itafit vizuri kutokana na mazingira na nature ya biashara yangu.
Nafikiria kuanzisha duka la Urembo na Vipodozi. Nafikira kuuza cosmetics zillizo expensive, za bei ya kati na za bei ya chini.
Ni eneo lipi kati ya MWENGE, MAKUMBUSHO na SINZA ambalo nitapata soko zuri na biashara itafit vizuri kutokana na mazingira na nature ya biashara yangu.