Habari wana jamvi,nimekuja kwenu kuomba USHAURI juu ya kuanzisha biashara ya kuuza vifaa vidogo vidogo vya machine kama mikanda(belt) ,engine oil na ring piston kwa mtaji wa 2.5M naweza kuanza ?
Na je ni wapi nitavipata hivyo vifaa kwa gharama nafuu ?
If it possible taja kifaa unachoona ni cha muhimu kwa machine ninachotakiwa kuwa nacho dukani