mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Habari wana jamvi,nimekuja kwenu kuomba USHAURI juu ya kuanzisha biashara ya kuuza vifaa vidogo vidogo vya machine kama mikanda(belt) ,engine oil na ring piston kwa mtaji wa 2.5M naweza kuanza ?
Na je ni wapi nitavipata hivyo vifaa kwa gharama nafuu ?
If it possible taja kifaa unachoona ni cha muhimu kwa machine ninachotakiwa kuwa nacho dukani
Na je ni wapi nitavipata hivyo vifaa kwa gharama nafuu ?
If it possible taja kifaa unachoona ni cha muhimu kwa machine ninachotakiwa kuwa nacho dukani