Naiunga mkono nukata hii. Kama eneo limechangamkaChoma kuku wewe
Uchawi unao lakini? Mbagala wanga wengiIla eneo lipo Mbagala Zakhiem ila bado sijajua nikaweke biashara ghmani kwa huo mtaji nilionao.
Naomba ushauri au mawazo yatakayonifanya nijue biashara gani nifanye eneo hilo na kwa guo mtaji.
Tengeneza banda aza kuuza matunda mchanganyiko kodi jokofu uza na maji ya Kandoro kama nafasi inaruhusu weka na mwamvuli na mabenchi na saani kata upande menya maembe nanasi matikiti nk tatizo mgabo kama hakuna mgambo wabongo wakiona unawini kila 1 ataanza kuuza matunda sehemu hiyo ila mpaka waanze utakuwa umesha piga kazi miezi sitta biashara ya matunda miezi sita utakuwa na akiba isio pungua1500000Ila eneo lipo Mbagala Zakhiem ila bado sijajua nikaweke biashara ghmani kwa huo mtaji nilionao.
Naomba ushauri au mawazo yatakayonifanya nijue biashara gani nifanye eneo hilo na kwa guo mtaji.
Haya tusichokeIla eneo lipo Mbagala Zakhiem ila bado sijajua nikaweke biashara ghmani kwa huo mtaji nilionao.
Naomba ushauri au mawazo yatakayonifanya nijue biashara gani nifanye eneo hilo na kwa guo mtaji.
Ila eneo lipo Mbagala Zakhiem ila bado sijajua nikaweke biashara ghmani kwa huo mtaji nilionao.
Naomba ushauri au mawazo yatakayonifanya nijue biashara gani nifanye eneo hilo na kwa guo mtaji.
Majokofu ya kukodisha yanapatikana wapiTengeneza banda aza kuuza matunda mchanganyiko kodi jokofu uza na maji ya Kandoro kama nafasi inaruhusu weka na mwamvuli na mabenchi na saani