Habarini wandugu mie ni mwajiriwa katika taasisi ya kifedha hapa mjini Shinyanga, niko na mwenzangu tumefikiria kuanzia biashara ya matofari kwani ujenzi huku ndio wimbo wa kila mmoja.
Nahitaji kujua vitu vya muhimu sana kwenye hii biashara kwani kwa sasa tumeandaa mtaji wa millioni sita. Ahsanteni.
Mkuu, hamidu mahmoud, ulifanikiwa?
Unahitaji vitu hivi
1. Eneo ambalo lipo karibu na barabara
2. Mashine ya kuchanganya mchanga na cement (kuna za umeme n.k)
3. Cement mifuko kadhaa
4. Lori kadhaa za mchanga
5. Vibao vya kuwekea tofali 500 (hv nunua mbao nenda kwa fundi mbao akutengenezee)
6. Tembelea wafanyabiashara wanaouza matofali wakupe data zaidi (Hili ni la msingi zaidi)
7. Utahitaji pia nguvukazi ya vijana angalau 5 (huwa wanalipwa kutokana na mifuko ya cement iliyotengenezwa siku hiyo)
8. Nakutakia kila la kheri katika biashara yako ya matofali
wazo safi utapiga ela usirudi nyuma mzee tofali ziwe tu na viwango utakubali mwenyeweHabarini wandugu mie ni mwajiriwa katika taasisi ya kifedha hapa mjini Shinyanga, niko na mwenzangu tumefikiria kuanzia biashara ya matofari kwani ujenzi huku ndio wimbo wa kila mmoja.
Nahitaji kujua vitu vya muhimu sana kwenye hii biashara kwani kwa sasa tumeandaa mtaji wa millioni sita. Ahsanteni.
Bei ya manual shingapi mkuu; Za umeme izo as we grow tutazinunua baadae!!! Alafu na Tani mmoja ya cement pale wazo inaweza ikawa inasimama kwa ngapi?Kwa ushauri wangu kwanza utafute yard kubwa ya kutosha yenye uzio (kama utapata) halafu nunua mashine za manual na baadae ya Umeme zipo dar kwa wachina zinafyatua mpaka matofali manne kwa mpigo sio tu matofali kwani baadae ukipata hela unauza na vifaa vya ujenzi pia,
Bei ya manual shingapi mkuu; Za umeme izo as we grow tutazinunua baadae!!! Alafu na Tani mmoja ya cement pale wazo inaweza ikawa inasimama kwa ngapi?
Mkuu nahitahi kidogo unifafanulie kuhusu malipo wanayostahili kulipwa vibarua kulingana na mfuko wa cement..ndio inakuwaje???Unahitaji vitu hivi
1. Eneo ambalo lipo karibu na barabara
2. Mashine ya kuchanganya mchanga na cement (kuna za umeme n.k)
3. Cement mifuko kadhaa
4. Lori kadhaa za mchanga
5. Vibao vya kuwekea tofali 500 (hv nunua mbao nenda kwa fundi mbao akutengenezee)
6. Tembelea wafanyabiashara wanaouza matofali wakupe data zaidi (Hili ni la msingi zaidi)
7. Utahitaji pia nguvukazi ya vijana angalau 5 (huwa wanalipwa kutokana na mifuko ya cement iliyotengenezwa siku hiyo)
8. Nakutakia kila la kheri katika biashara yako ya matofali