Ushauri biashara ya kufyatua matofali

Bei ya manual shingapi mkuu; Za umeme izo as we grow tutazinunua baadae!!! Alafu na Tani mmoja ya cement pale wazo inaweza ikawa inasimama kwa ngapi?
Mashine sio gharama ya umeme unaweza pata nzuri na yenye chuma kigumu kwa mil2.5.
Pia waweza nicheki 0719392415.
Ninayo mpya nilinunua haijafanya kazi naweza nikakuuzia
 
Hv hz mashine za kuchanganya mchanga zp ambazo hazitumii umeme??
 
Fyatua fedha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…