Ushauri: Biashara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa jijini Dar inalipa?

Ushauri: Biashara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa jijini Dar inalipa?

Wadau napenda kupata ushauri bishara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa Dar inalipa? Nimefunga mashine kwa hapa dar lakini material kwa maana ya mbegu itanilazimu nikanunue Singida au Dodoma. Nimeamua kufunga hiyo mashine hapa Dar kwa ajili ya urahisi wa kusimamia maana mimi ni mwajiriwa pia.
Gunia hlo la alzet ni lenye debe ngapi kaka
 
Na ukishapata hyo mashine kuna vitu gani vingine vya kununua au kuandaa ili mradi ukamilike?

Sent using Jamii Forums mobile app

Karibu nikuuzie oil pressing machine from China
Tsh 3,750,000 tuu yenye capacity ya 5tones per day! Hii bei mpaka inakufikia warehouse na kodi za TRA zote zinalipiwa
WhatsApp +8618857052304
Pia ingia kwenye Instagram page ya @panda_sourcing kujua es bidhaa tofauti
 
M
Tatizo niliwahi kufunga mashine katika moja ya mikoa inayozalisha alizet nikawa nimempa mtu wa kusaidia katika isimamizi lakini matarajio yangu yalipotea kabisa maana sikuweza kupata faida yoyote zaidi ya kiswahili kingi kitoka kwa huyo msimamizi.
Mpeleke mke akasimamie au tafuta kijana ambae hana majukumu makubwa, muingie mkataba mzuri usiokandamizaji.Watanzania suala la uaminifu ni F kabisa jitahidi kuna baadhi ya makabila ni waaminifu kama hutawalalia sana.Pole sana hiyoni changamoto kubwa katika uwekezaji mdogomdogo.Makabila waaminifu ni wasukuma, wabena, waha.Kama wewe ni myaki au mchaga asithubutu kuwaweka hao ndugu watageuza mtaji kuwa wao .Tafuta msukuma ndugu hutajuta kama vipi nikuunganishe na vijana waaminifu.
 
Kwann usitafute mashamba mkuu ukalime mwenyewe alizeti ni moja ya kilimo chepec na kisichokuwa na gharama kubwa, lkn kuagiz Gunia ulitoe singida mpk lifike dar, ukamue,upack, mbn safar ndefu sana ya kufanikiwa, mm nafikiria nianze na mashamba alizeti ikiwa shamban teyar ndio naanza mchakato wa kuandaa mashine usajil wa bidhaa, na vifungashio nn, wafanyakaz sio sana na familia itatosha kwa kuanza nayo, lkn komaa na idea ako maaana mafanikio sii rahisi
 
Kwann usitafute mashamba mkuu ukalime mwenyewe alizeti ni moja ya kilimo chepec na kisichokuwa na gharama kubwa, lkn kuagiz Gunia ulitoe singida mpk lifike dar, ukamue,upack, mbn safar ndefu sana ya kufanikiwa, mm nafikiria nianze na mashamba alizeti ikiwa shamban teyar ndio naanza mchakato wa kuandaa mashine usajil wa bidhaa, na vifungashio nn, wafanyakaz sio sana na familia itatosha kwa kuanza nayo, lkn komaa na idea ako maaana mafanikio sii rahisi
 
Ufataji wako wa mbegu utakugharimu sana Gunia elfu 60-80 bado usafiri (kama unao wakwako ni sawa) ukilikamua gunia unapata lita 18-20.
.
Lita tano=22,00-24,000 kwenye gunia moja bado gharama za uendeshaji wa hiyo mashine (KUMBUKA UMEME WA DAR NI GHALI MNO)
.
Hata ukiuza mashudu nazani bado faida itakuw ndogo mno.


jumla
Ufataji wako wa mbegu utakugharimu sana Gunia elfu 60-80 bado usafiri (kama unao wakwako ni sawa) ukilikamua gunia unapata lita 18-20.
.
Lita tano=22,00-24,000 kwenye gunia moja bado gharama za uendeshaji wa hiyo mashine (KUMBUKA UMEME WA DAR NI GHALI MNO)
.
Hata ukiuza mashudu nazani bado faida itakuw ndogo mno.
kilo 13 zinatoa 5lts
kununua kilo 600 *13=7800
kukamua 13*100= 1300
kununua dumu 1000
kuweka lable 1000
usafiri =2000
jumla 13900 gharama za uandaaji

utauza kwa 17000 kwa mkoani faida itakuwa 3100 kwa dumu
inamaana kwa gunia itakuwa 5*3100= 15500

hapo utauza mashudu kilo30 *sh 300*= 9000

ukatoa upakiaji unapata 7000
total ya faida itapata 22500 kwa kila gunia.
 
Back
Top Bottom