mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Na ukishapata hyo mashine kuna vitu gani vingine vya kununua au kuandaa ili mradi ukamilike?Mimi nilinunua china lakini ukienda sido utapata shs 4,000,000 niliziona kwenye maonyesho ya sabasaba
Sent using Jamii Forums mobile app