Ushauri biashara ya kuosha Magari na pikipiki

Ushauri biashara ya kuosha Magari na pikipiki

buyoya419

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
618
Reaction score
498
Naombeni ushauri nataka kuacha kazi ya kuajiriwa maana naona wanazingua now nataka niingie kwenye biashara ya kuosha pikipiki na magari.

Jetwasher nzuri na original zinauzwaje iwe used au mpya

Ni sehemu gani nzuri za kukaa ili kufanya biashara hii

Je, ina mabaya gani au shida yake

Mtaji wake ni kiasi gani

Na vitu vingine ambavyo sijavitaja

Naombeni ushauri wenu.

1620386140441.png
 
milioni 5 ni kubwa sana kwenye hiyi biashara
}set nzima ya car wash machine 1.6 paka 1.7 mln
na set ina consist washing machine,vacum cleaner ya kupuliza vumbi na maji , na soap gun ile ya kutolea sabuni..so unaeza ukanunua mbili au tatu inategemea na idadi ya gari utakazokua unapata..
}gharama zingine ni kulingana na mazingira yako sasa..kama unahitaji kutengeneza sewage ni wewe sasa,namba ya vijana utakao hitaji kuajiri ni maamuzi yako, kama kuna shida ya maji kuna umuhimu wa kununua water tunks kwa ajili ya kuhifadhi maji hiyo ni juu yako..ila gharama za muhimu ni hizo hapo juu
 
Back
Top Bottom