Wakubwa shikamoo,wadogo hamjambo,
Wana jamvi, Naomba msaada kwa mtu anayefahamu,anayefanya biashara hii,wataalamu wa wanyama pori au wazo lolote na ushauri kuhusu wazo langu naomba anisaidie.
Huwa nawaza na kuona fursa ya kufanya biashara ya zoo,yaani mahali ninapoweza kuweka wanyama mbalimbali watu wakapita kuwaona,kupiga picha na kutoa kiingilio,
Lakini sifahamu sheria za wanyama pori,usajiri wa biashara hiyo,na namna ya kuiendesha na mtaji kiasi gani unahitajika lakini pia namna ya kuwapata wanyama hawo mfano simba,chui na baadhi ya nyoka wa maonyesho.
Naomba msaada zaidi
Wana jamvi, Naomba msaada kwa mtu anayefahamu,anayefanya biashara hii,wataalamu wa wanyama pori au wazo lolote na ushauri kuhusu wazo langu naomba anisaidie.
Huwa nawaza na kuona fursa ya kufanya biashara ya zoo,yaani mahali ninapoweza kuweka wanyama mbalimbali watu wakapita kuwaona,kupiga picha na kutoa kiingilio,
Lakini sifahamu sheria za wanyama pori,usajiri wa biashara hiyo,na namna ya kuiendesha na mtaji kiasi gani unahitajika lakini pia namna ya kuwapata wanyama hawo mfano simba,chui na baadhi ya nyoka wa maonyesho.
Naomba msaada zaidi