Ushauri binafsi - Zitto Kabwe gombea Uspika wa Bunge Maalamu la Katiba

Ushauri binafsi - Zitto Kabwe gombea Uspika wa Bunge Maalamu la Katiba

Magembejr

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
618
Reaction score
75
Wana jamvi namshauri ndugu zitto agombee nafasi ya uspika wa bunge maalum la katiba ili ajipime kama ana ushawishi wa kugombea urais mwakani kama alivyo tia nia katika majukwaa,lakini pia atakua anajiongezea credit kwa ajiri ya mwakani
 
Wana jamvi namshauri ndugu zitto agombee nafasi ya uspika wa bunge maalum la katiba ili ajipime kama ana ushawishi wa kugombea urais mwakani kama alivyo tia nia katika majukwaa,lakini pia atakua anajiongezea credit kwa ajiri ya mwakani
 
Hana Degree ya sheria ,hivyo hana sifa, labda atumie "matunguli" na kuwa spika wa ACT- Newzealand o TZ
 
kwani mwakani umri wa urais atakuwa ameufikisha kulingana na katiba?
 
Wana jamvi namshauri ndugu zitto agombee nafasi ya uspika wa bunge maalum la katiba ili ajipime kama ana ushawishi wa kugombea urais mwakani kama alivyo tia nia katika majukwaa,lakini pia atakua anajiongezea credit kwa ajiri ya mwakani

Agombee kupitia kundi lipi?
1. Walemavu
2. Dini
3. Watu wenye mlengo unaoshabihiana
4. Chama cha ACT

Naomba ufafanuzi.
 
huyo msaliti kwisha habari yake!!!! nani ampe kura yake,labda mwigulu!
 
Agombee kupitia kundi lipi?
1. Walemavu
2. Dini
3. Watu wenye mlengo unaoshabihiana
4. Chama cha ACT

Naomba ufafanuzi.

Labda lile kundi la kina Kingunge la waganga wa jadi. Hata hivyo mbona mna lazimisha kumpandisha chati mtu ambaye tayari kesha toswa na jamii? Tabia ya usaliti hailipi hilo ndilo amejifunza na wengine nao wameliona.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Mbowe na misukule yake watasusia bunge
 
Agombee kupitia kundi lipi?
1. Walemavu
2. Dini
3. Watu wenye mlengo unaoshabihiana
4. Chama cha ACT

Naomba ufafanuzi.

Daktari wako wa Mirembe ndio mshauri mzuri kwako kwani JF hakuna jukwaa lenu
 
zzzk.jpg
 
Bunge Maalum la katiba halina nafasi ya U-speker.
 
Wana jamvi namshauri ndugu zitto agombee nafasi ya uspika wa bunge maalum la katiba ili ajipime kama ana ushawishi wa kugombea urais mwakani kama alivyo tia nia katika majukwaa,lakini pia atakua anajiongezea credit kwa ajiri ya mwakani
Si mbaya mkamuweka ili aone jinsi alivyoisha..tena ktk macho yake atashughudia Wana CCM wakimwita msaliti kwa uwazi na wingi wao.
 
Ingawa niko CCM na nimekunywa maji ya bendera yake, lakini nakiri kusema Zitto akigombea urais hata kwa tiketi ya chama gani nitampa kura yangu.

Sipendi ushabiki, napenda uwezo wa mtu, ingawa ana mapungufu kama tulivyo binadamu wengine, lakini zitto ni kiongozi hodari.
 
Hana Degree ya sheria ,hivyo hana sifa, labda atumie "matunguli" na kuwa spika wa ACT- Newzealand o TZ

mpe yale yako uliyopewa na bibi.yako unayotumia kuwaroga wafanyakazi wenzako hapo ofisini ili upandishwe cheo.. wewe ni pepo
 
Ingawa niko CCM na nimekunywa maji ya bendera yake, lakini nakiri kusema Zitto akigombea urais hata kwa tiketi ya chama gani nitampa kura yangu.

Sipendi ushabiki, napenda uwezo wa mtu, ingawa ana mapungufu kama tulivyo binadamu wengine, lakini zitto ni kiongozi hodari.

Angekuwa na uwezo kama inavuodhaniwa angefahamu pia usaliti ni unyama. Kama alishindwa kutambua hilo hana sifa za uongozi. Inawezekana ana akili za kitabuni.
 
Agombee kupitia kundi lipi?
1. Walemavu
2. Dini
3. Watu wenye mlengo unaoshabihiana
4. Chama cha ACT

Naomba ufafanuzi.

Nadhani Bunge la katiba halihitaji mtu adhaminiwe na kundi lolote lile.....
 
Agombee kupitia kundi lipi?
1. Walemavu
2. Dini
3. Watu wenye mlengo unaoshabihiana
4. Chama cha ACT

Naomba ufafanuzi.

Hayo maulizo yako angelikuwa Chadema naamini usingeliyauliza hata kama ungelikuwa usingizini.

Punguzeni kejeli na riyaa.
Kwanini jina tu mara mulisikiapo mkoswe na amani na badali yake vitwa venu kushikwa na ubaridi kama si mgando wa akili kimawazo..?!!
 
Back
Top Bottom