Umekosea njia bwana mdogo, Pole, Mwambie aende ujiji kuna degree za sheria ya usaliti...mpe yale yako uliyopewa na bibi.yako unayotumia kuwaroga wafanyakazi wenzako hapo ofisini ili upandishwe cheo.. wewe ni pepo
Hayo maulizo yako angelikuwa Chadema naamini usingeliyauliza hata kama ungelikuwa usingizini.
Punguzeni kejeli na riyaa.
Kwanini jina tu mara mulisikiapo mkoswe na amani na badali yake vitwa venu kushikwa na ubaridi kama si mgando wa akili kimawazo..?!!
Hana Degree ya sheria ,hivyo hana sifa, labda atumie "matunguli" na kuwa spika wa ACT- Newzealand o TZ
yani mapgano ya katiba mpya yaongozwe na msaliti!!!!??? traitor how come!!