uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Nimepata taarfa bondia namba moja Afrika Mashariki, Karim Mandonga anajipanga kunyakua jimbo la Morogoro Mjini
Ni kweli anaushawishi wa kushinda Ubunge kwasababu vijana wengi Tanzania wanampenda Mandonga ila sio rahisi kumwangusha Abood. Yule mzee ni anapiga vibuyu hatari km huamini uliza wataalamu wa jadi wanaomfanyia kazi
Ushauri wangu chukua form ya kugombea ubunge kupitia CCM atakufuata uvune mipesa ili ujitoe usikatae
Ila usigombee ubunge watakuibia tu hutapata
Ni kweli anaushawishi wa kushinda Ubunge kwasababu vijana wengi Tanzania wanampenda Mandonga ila sio rahisi kumwangusha Abood. Yule mzee ni anapiga vibuyu hatari km huamini uliza wataalamu wa jadi wanaomfanyia kazi
Ushauri wangu chukua form ya kugombea ubunge kupitia CCM atakufuata uvune mipesa ili ujitoe usikatae
Ila usigombee ubunge watakuibia tu hutapata