Ushauri: Bondia Karim Mandonga achana na wazo la kugombea Ubunge, utalogwa uache magari yako uliyopewa zawadi

Ushauri: Bondia Karim Mandonga achana na wazo la kugombea Ubunge, utalogwa uache magari yako uliyopewa zawadi

Nimepata taarfa bondia namba moja Afrika Mashariki, Karim Mandonga anajipanga kunyakua jimbo la Morogoro Mjini

Ni kweli anaushawishi wa kushinda Ubunge kwasababu vijana wengi Tanzania wanampenda Mandonga ila sio rahisi kumwangusha Abood. Yule mzee ni anapiga vibuyu hatari km huamini uliza wataalamu wa jadi wanaomfanyia kazi

Ushauri wangu chukua form ya kugombea ubunge kupitia CCM atakufuata uvune mipesa ili ujitoe usikatae

Ila usigombee ubunge watakuibia tu hutapata
Kiranga njoo hapa uchawi upo au haupo...naomba tuanzie hapo?
 
Kuna haja ije sheria ya ukomo wa ubunge. Kama vipi ukomo iwe awamu mbili tu ambapo ukiongoza ya kwanza unakaa kwanza pembeni ndo unapata tena sifa ya kuja kutafuta nafasi ya kumalizia awamu ya pili. Watu wapo wengi wanataka kuongoza lakini kuna watu wameng'ang'ania majimbo kama ya kwao
1. Mandonga atumie hizo pesa alizopata Kenya japo ajenge nyumba ya vyumba viwili ya kuishi hata hapo hapo Moro pia asiache ya awali upigaji debe pale stendi Msamvu. Ndondi zinaweza kubuma anytime kama Mwakwinyo
2. Nani atapitisha hiyo sheria? Ikiwa waliopo ndio wanufaika?
3. Siasa zetu sio za mkono mtupu, bila fuba aandike maumivu. Watu wanataka kushiba sio ndondi.
 
Kuna haja ije sheria ya ukomo wa ubunge. Kama vipi ukomo iwe awamu mbili tu ambapo ukiongoza ya kwanza unakaa kwanza pembeni ndo unapata tena sifa ya kuja kutafuta nafasi ya kumalizia awamu ya pili. Watu wapo wengi wanataka kuongoza lakini kuna watu wameng'ang'ania majimbo kama ya kwao
madonga Hana Cha kuongoza ni njaa tu na kulewa sifa.
 
Mwache akapige pesa za nje nje.

Cha kufanya atishie kugombe alafu wenye siasa zao za hapo wenyewe watamuita mezani, aliyesomea Cuba atakuwa amenielewa.
 
the practice of magic, especially for evil purposes; the use of spells.
"children and goods were believed to be vulnerable to the witchcraft of jealous neighbours"
Hapo Sasa....
Nakuuliza uchawi ni nini, unaanza kwa kunijibu uchawi ni uchawi.

Spells ni nini?

Nikikutia hofu kisaikolojia kwa maneno ya mkwala tu, kama "spell" ukapata mshtuko wa moyo ukafa, huo ni uchawi?
 
Kuna haja ije sheria ya ukomo wa ubunge. Kama vipi ukomo iwe awamu mbili tu ambapo ukiongoza ya kwanza unakaa kwanza pembeni ndo unapata tena sifa ya kuja kutafuta nafasi ya kumalizia awamu ya pili
Wakupitisha sheria hiyo ndiyo hao wasioitaka
 
Nimepata taarfa bondia namba moja Afrika Mashariki, Karim Mandonga anajipanga kunyakua jimbo la Morogoro Mjini

Ni kweli anaushawishi wa kushinda Ubunge kwasababu vijana wengi Tanzania wanampenda Mandonga ila sio rahisi kumwangusha Abood. Yule mzee ni anapiga vibuyu hatari km huamini uliza wataalamu wa jadi wanaomfanyia kazi

Ushauri wangu chukua form ya kugombea ubunge kupitia CCM atakufuata uvune mipesa ili ujitoe usikatae

Ila usigombee ubunge watakuibia tu hutapata
Tuna watu wa hovyo sana yaani Mandonga ndio awe mbunge na umaskini wake huo?
 
Mada maugo aliishia wapi na ndoto za kugombea ubunge
 
Nimepata taarfa bondia namba moja Afrika Mashariki, Karim Mandonga anajipanga kunyakua jimbo la Morogoro Mjini

Ni kweli anaushawishi wa kushinda Ubunge kwasababu vijana wengi Tanzania wanampenda Mandonga ila sio rahisi kumwangusha Abood. Yule mzee ni anapiga vibuyu hatari km huamini uliza wataalamu wa jadi wanaomfanyia kazi

Ushauri wangu chukua form ya kugombea ubunge kupitia CCM atakufuata uvune mipesa ili ujitoe usikatae

Ila usigombee ubunge watakuibia tu hutapata
kwakweli tunaharibu taifa kwa kuwa na wabunge wa umaarufu,siasa ni interest c umaarufu ndiyo mana bunge halina mvuto huyo bondia akiingia huko atapigwa na atapukutika na hatapita kura za maoni.
 
1. Mandonga ajenge nyumba ya kuishi hata hapo hapo Moro pia aache upigaji debe pale stendi Msamvu.
2. Nani atapitisha hiyo sheria? Ikiwa waliopo ndio wanufaika?
3. Siasa zetu sio za mkono mtupu, bila fuba aandike maumivu. Watu wanataka kushiba sio ndondi.
Mandonga ana nyumba nzuri tu Moro usimchukulie poa
 
Waluguru huwaambii kitu kwa Aziz........wakifa Azizi anawazika.
 
Abood sio tu Mchawi bila ni mafia pia kuna mtu pale Moro anaonyesha interests za kutia nia 2025 kashaundiwa kamati ya kumlet down tangu mwaka jana 2022...Mandonga afanye mambo mengine tu akiendelea kukazia nia yake hata hayo mapambano yanayompa umaarufu hatakuwa hayapati tena
 
Back
Top Bottom