Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Wakuu habari za saa hizi??
Naomba Ushauri wenu wana JF, Hivi ikiwa mtu ulisoma combination ya PCB A-Level halafu ukasoma Diploma ya General Agriculture.
Je,Ukiomba kusoma Degree hii ya Bio processing and Post harvest engineering unaweza kuchaguliwa? Vipi Msuli wake ni mgumu sana au? Je unakuwa unafit kwenye kazi zipi?
Asanteni,
Naomba kuwakilisha.
Naomba Ushauri wenu wana JF, Hivi ikiwa mtu ulisoma combination ya PCB A-Level halafu ukasoma Diploma ya General Agriculture.
Je,Ukiomba kusoma Degree hii ya Bio processing and Post harvest engineering unaweza kuchaguliwa? Vipi Msuli wake ni mgumu sana au? Je unakuwa unafit kwenye kazi zipi?
Asanteni,
Naomba kuwakilisha.