USHAURI: CCM iwe na Katibu wa Itikadi na Uenezi upande wa Bara na Makamu wake atoke visiwani

USHAURI: CCM iwe na Katibu wa Itikadi na Uenezi upande wa Bara na Makamu wake atoke visiwani

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Nimefuatilia sinema inayochezwa na CCMbara nimegundua kuna umuhimu wa kuwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM wawili kwa kila upande wa seriksli zote mbili. Kwa sasa ukifuatilia sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022.

CCM upande wa bara tumepiga na kitu kizito itakapofikia muda wa kutoa maamuzi muhimu na makubwa kwenye vikao vikubwa vya chama bara hatakuwa na kura ya veto ukizingatia bara kuna watu 60 milion.

Pili muundo wa muungano ndani chama cheye serikali ya muungano hakuna usawa wa mgawanyo wa madaraka ulio sawa jambo ambapo ikifika 2030 kwa hali ilivyo na tunskoelekea itasababisha kuvunjika kwa muungano kwa wabara kutokuona usawa wa kimadaraka ndani ya chama na umuhimu wa muungano upande wa bara.

Tatu, chama na serikali kimefikia mahali kwa wakati huu kushindwa kuelezea umuhimu wa muungano kwa upande wa wananchi wa bara jambo linalopelekea bara kuona kuwa sasa inatawaliwa na visiwani.

Nne, cha kufurahisha na kushangaza zaidi , mtu ni mzanzibari ,alikuwa waziri huku bara, akiona uchaguzi mkuu umefikia anakimbilia zanzibar anachukua fomu ya kugombea urais zanzibar, akikosa urais huko anarudi tena bara anateuliwa kuwa waziri , hii imekaaje (mfano Prof Mbarawa) huku bara .

Maprofesa wengine UDSM amuoni hili jambo sio lakawaida?au kuna kiini macho?

Nilivyoyasema haya wengine watasema ni ubaguzi hili neno ubaguzi tafsiri yaje ni nini?
 
Wakupe Wewe unayehangaika na Ubaguzi
Ubaguzi watu 1.8 m kutawala watu 60m huo ndio ubaguzi number one.

Wajumbe wa Halmashauri kuu ya ccm visiwani wenye watu 1.8 m wanapewa nafasi 20 kutoka mikoa 5 ,bara kwenye watu 60m wanapewa nafasi 20 kutoka mikoa 30,hii imekaaje?

Mzanxibar anakuwa waziri bara , mtanganyika visiwani hata ubalozi wa nyumba kumi kumi hupewi , hii imekaaje?
 
Ubaguzi watu 1.8 m kutawala watu 60m huo ndio ubaguzi number one.
Wajumbe wa Halmashauri kuu ya ccm visiwani wenye watu 1.8 m wanapewa nafasi 20 bara kwenye watu 60m wanapewa nafasi 20 hii imekaaje? Mzanxibar anakuwa waziri bara , mtanganyika visiwani hata ubalozi wa nyumba kumi kumi hupewi , hii imekaaje?

Huu muungano wa shuruti, viongozi wa CCM pekee ndio wanaojua faida yake. Huenda ni muungano wa matambiko, ndio maana wanaulinda huku wakiwa hawana sababu zinazoingia akilini za uwepo wake.
 
Kuishauri kitu sasa hivi ccm ni sawa na kupoteza muda ujue
 
Huu muungano wa shuruti, viongozi wa CCM pekee ndio wanaojua faida yake. Huenda ni muungano wa matambiko, ndio maana wanaulinda huku wakiwa hawana sababu zinazoingia akilini za uwepo wake.
Upo sahihi kabisa,yaani kama wanavyopinga suala la serikali 3 ,ilihali huku field kuna serikali 3, angalia nafac ya Waziri Mkuu na Wizara ya TAMISEMI, hasa kipindi kile TAMISEMI ipo chini ya Ofc ya Waziri Mkuu..ila ni suala la muda tu
 
Kuishauri kitu sasa hivi ccm ni sawa na kupoteza muda ujue
List of Angolan millionaires who have been granted amnesty to return stolen wealthy which they had hidden in foreign countries,the Goverment is working with the countries where these monies for Angolan people was hidden

THE LIST HAS COME OUT FOR ALL THOSE WHO NEED TO REPATRIATE BACK THE MONEY THEY HAVE IN OVERSEAS ACCOUNTS

1.José Eduardo dos Santos: USD 7,9 Billion

2.Hélder Manuel Viera Dias Júnior “Kopelipa”: USD 2, 6 billion

3.Leopoldino Fragoso do Nascimento «Dino»: USD 1,8 billion

4.Manuel Domingos Vicente: USD 3,8 billion

5.Isabel dos Santos Dokolo: USD 12,7 billion

6.Tenente-Coronel Leonardo Lidinikeni (ex-oficial de escolta presidencial): USD 314,3 million

7.José Lima Massano: USD 1.2 billion

8.José Filomeno dos Santos “Zenú”: USD 1,9 billion

9.José Leitão da Costa e Silva: USD 842,7 million

10.José Maria (ex-chefe da Inteligência Militar): USD 854,3 million

11.Jean-Claude Bastos de Morais: USD 2,5 billion

12.Armando da Cruz Neto: USD 213,7 million

13.Álvaro Sobrinho: USD 1,7 billion

14.Elísio de Figueiredo(Embaixador): USD 1,8 billion

15.António Pitra Neto: USD 578 milion

16.Higino Lopes Carneiro: USD 1,2 million

17.Carlos Hendrick Silva; USD 243,2 million

18.General Fernando Araújo: USD 283,1 million Empresário

19.António Mosquito e o Bancário Sebastião Lavrador: USD 213,8 million

20.Marcel Kruse: USD 348,2 million
Empresário e político.

21. Joaquim David: USD 854,9 million

22.Administrador da Sonangol Abílio Sianga: USD 743,7 million

23.Bancário Mário Palhares: USD 843,8 million

24.Aguinaldo Jaime; USD 412,8 million

25.António França “Ndalu” USD 312,9 million

26.Amaro Taty: USD 232,9 million

27.Diretor da ASCORP Noé Baltazar: USD 743,9 million

28.Desidério Costa: USD 621,9 million

29.Isaac dos Anjos: USD 312,8 million

30.Faustino Muteka: USD 532,1 million

31.Carlos Hendrick: USD 198,8 million

32.António Vandúnem: USD 317,5 million

33.Manuel Augusto da Fonseca(Sonangol): USD 429,2 million

34.Orlando Veloso (ex-PCE da Sonangol Imobiliária): USD 512,7 million

35.José Carlos de Castro Paiva, (ex-Administrador não-executivo da Sonangol): USD 312,1 million

36.José Pedro de Morais: USD 542,7 million

37.General Pedro Neto: USD 286,9 million

38.Dumilde Rangel: USD 213,5 million

39.Santana André Pitra: USD 267,4 million

40.Hendrick Vaal Neto: USD 265,2 million

41.Fernando da Piedade dias Santos Nandó: USD 623,7 million

42.Salomão Xirimbimbi: USD 312,8 million

43.Fátima Jardim (ex-Ministra das Pescas): 121,5 million

44.Álvaro Carneiro (ex-director adjunto da Endiama): USD 276,9 million

45.Ramos da Cruz: USD 163,8 million

46.Gomes Maiato: USD 285,8 million

47.Joanes Andre: 693,7 million

48.João Eduardo dos Santos: USD 412,4 million

49.Marta dos Santos: USD 1,2 billion

50.Bento Kangamba: USD 203,7 million

51.Gonçalves Muandumba: USD 175,8 million

52.Luiz Paulino dos Santos (ex-governador do Bié): USD 86,3 million

53.Paulo Kassoma: USD 126,3 million

54.Empresário Rui Santos: USD 1,8 billion

55.Mário António (Adm. da GEFI): USD 83,9 million

56.Silva Neto (ex-administrador da Sonangol Distribuidora): USD 453,8 million

57.Júlio Bessa (ex-Ministro das Finanças): USD 113,7 million

58.Paixão Franco: 163,8 million

59.Kundi Payhama: USD 217,8 million

60.General Furtado: USD 198,4 million

61.Ismael Diogo: USD 59,3 million

62.Augusto Tomás; USD 846,1 million

63.Generoso de Almeida; USD 213,6 million

64 General Cirilo de Sá: USD 147,1 million

65.Paixão Junior: USD 241,7 million

66.General Adolfo Razoilo: USD 162,4 million

67.Bornito de Sousa(actual vice-presidente da república): USD 317,4 million

68.Gilberto Lutukuta: USD 98,8 million

69.José Pedro de Morais: USD 312,8 million
Empresário

70. Fernando Borges: USD million

71.José Lopes; USD 73,9 million

72.Irmãos Ceita: USD 421,7 million
With all that money, Angola does not need any foreign aid. This could be the situation in all African countries. I wish they could all be exposed and the money returned to the respective countries treasuries. God bless Africa.
 
Suluhisho la kudumu la kero za muungano ni kuwa na muundo wa serikali moja tu.
 
Back
Top Bottom