Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
- Thread starter
- #21
Sasa TUCTA ni tawi la CCMCHADEMA hawezi kufanya kazi ya TUCTA ni ujinga tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa TUCTA ni tawi la CCMCHADEMA hawezi kufanya kazi ya TUCTA ni ujinga tupu
Ni tawi kuu la CCMSasa TUCTA ni tawi la CCM
Mimi sijaogopa maandamano wakija upande ambao nipo nitaandamanaSasa kwa nini unaogopa maandamano?
Hahahah sawa ni CWTNi tawi kuu la CCM
si na wewe uanzishe? why chadema chaema?CHADEMA kama kweli maandamano yenu ni ya dhati toka mioyoni basi maandamano yatakayofuata kuanzia maandamano yajayo fanyeni maandamano makubwa, kushirikisha taasisi zote za serikali ambazo zimeathiriwa na kikokotoo japo taasisi hizo haziwezi kushiriki moja kwa moja ila zitawaunga mkono kwa namna yeyote ile.
Manake CCM wanategemea hizo taasisi katika kusimamia uchaguzi, na kuwalindia kura katika chaguzi zote, hasa Polisi, walimu ndio wanatumika sana na hao ndiyo waathirika wa kikokotoo.
Kwahyo inatakiwa mshinikize hizo taasisi ziungane na ninyi hata kwa fikra, vitendo na pia fanyeni iwe ajenda yenu kuu kwa sasa.
Niwaambieni kwakua leo taasisi zote zimesema mtu, au chama kitakachoenda na Agenda ya kikokotoo ndicho wataenda nacho au wataenda nae.
Agenda ya kikokotoo ni muhimu kuelekea uchaguzi, na Agenda ambayo wabunge wa ccm wameshindwa itetea, wangeitetea ingekuwa kura muhimu kurudi bungeni.
Sikupaswa kuweka hili suala hadharani kwakua nimeweka silaha hadharani na adui kaona CCM,kwakua CCM ni bingwa wa kutengeneza tatizo na kutatua mwakani wataibeba kama Agenda muhimu ili wachaguliwe.
Na ushauri wangu wa mwisho mkihachana na maandamano anzeni kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano, itisheni makongamano kama ya katiba mfanyavyo ila yawe kwajili ya kutoa elimu kuhusu kikokotoo, mathara yake kwa wafanyakazi hakika itakuwa ni kete muhimu kwenu na mtarudi kwenye mstari.
KHERI YA MAANDAMANO KWA SIKU YA LEO
MWENYE:MATULANYA MPUTA
Email:maggierozaria@gmail.com
hata wasiposhirikie mandamano ,wabunge na madiwani watakaogombea nakuhakikishia wakija na ajenda hii MUHIMU ,CCM iaweza kung'oka maradakani au upizani kupata kura nyingi sana.hakuna ajenda MUHIMU kama hii. ajenda ya kugawa nji kwa majimbo huwa haina mashiko kabisa.njoni na ajenda hii muhimu .Tatizo ni kwamba nyie Watoa ushauri wala hamtashiriki because mtakua maofisini
hahahahha.akili anazo .hataka kama zingekuwa kidogo usimtusi.mfano wa swali natamani kujua ni kwamba ,mstaafu akifa kabla ya ile miaka 12 yakuendelea kupewa pensheni zile hla zinazobaki anapewaga nani?Mleta mada akili huna kikokotoo kinahusu hao wafanyakazi wengi wa Umma ambao hawafiki laki nne jumla kwenye Nchi yenye watu milioni 60 .Wapuuzi hao hawajali wananchi Wana nyodo maofisini wananchi wakienda Kutaka huduma wanajiona miungu watu kuanzia traffic barabarani,TRA,Halmashauri ,Maafisa Ardhi , Hospital nk hakuna mwananchi atawaunga mkono zaidi ya kuwapopoa Mawe na matusi ya nguoni wakiandamana sababu hawana faida yeyote kwenye utatuzi wa kero za wananchi
Ziara ya Makonda ukiona wananchi wanavyowaona kero hao watumishi wa Umma wakiandamana Kwa kikokotoo Chao wajiandae kuzomewa na kupopolewa na Mawe na wananchi wenye hasira wasio hudumiwa nao vizuri
Akili zako ndogo, mtu uitishe maandamano umesajiliwa Kama chama cha siasa? Chama cha wafanyakazi?Haiwezekani waka-address hoja na matamanio yako yoootee kwa siku moja.Ngazi kwa ngazi.Halafu,hata wewe unaweza kuitisha maandamano utoe/uweke hoja zako.Usiwatwishe CHADEMA kila kitu.Chukua nafasi yako.
Ataomba miongozo na kupewa.Wewe ndiye unafikiria kwa kudeka hadi kujipa majina kama mpunga mashetani.Ukiambiwa kitu kimoja unapaswa kufikiria vitu sita zaidi.Acha ukarunguyeye wewe vipi?Yeye kabisha na kuogopa?Sutpid mwili mzima.Akili zako ndogo, mtu uitishe maandamano umesajiliwa Kama chama cha siasa? Chama cha wafanyakazi?
Utaitisha kwa utaratibu gani?
Na wewe aikili huna aliyekwambia pension mwisho miaka 12 nani? Ujinga wako peleka huko.Pension mtu analipwa Hadi akifariki sio miaka 12 ni afya yake tu aweza hata Aishi miaka 50 baada ya kustaafu ataendelea kulipwa tuhahahahha.akili anazo .hataka kama zingekuwa kidogo usimtusi.mfano wa swali natamani kujua ni kwamba ,mstaafu akifa kabla ya ile miaka 12 yakuendelea kupewa pensheni zile hla zinazobaki anapewaga nani?
Wanailetaje kWa mfano wakati waajiriwa nchi hii wanaofikia Umri huo hawafiki hata 10% ya voters?hata wasiposhirikie mandamano ,wabunge na madiwani watakaogombea nakuhakikishia wakija na ajenda hii MUHIMU ,CCM iaweza kung'oka maradakani au upizani kupata kura nyingi sana.hakuna ajenda MUHIMU kama hii. ajenda ya kugawa nji kwa majimbo huwa haina mashiko kabisa.njoni na ajenda hii muhimu .
YesHahahah sawa ni CWT