samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
Nyakipambo, unaweza kutoa mifano ya vyuo viwili tu vya nje ya bongo ambavyo vinakubaliana na ukiukwaji wa examination regulations halafu wanamruhusu mwanafunzi husika arudie mwaka? Ninachofahamu mimi ni kuwa mwanafunzi anaweza kupewa hata award lakini ya chini tofauti na ile aliyokuwa anaitafuta pale ambapo anaonekana kafail kwa kukosa uwezo wa kupata kile alichokuwa anakitafuta lakini siyo kwa ku-violate exam. regulations, tena wenzetu ni wakali tofauti na unavyofikilia. Ukikamatwa tu, the next flight back home is yours!!Ndio upumbavu wa vyuo vya kibongo yaaani mtu kasoma miaka 4 yote halafu wanamdisco bora wamwambe arudie mwaka
senate ipo sahihi kabisa kwasababu hata kabla paper haijaanza wanasisitiza sana kuhusu simu lkn nadhani hakujali na hakujua ndio 40 yake.....yeye si wa kwanza nilishaona jamaa wengi tu wakirudi mwaka kwa kukutwa na simu kwny chumba cha mtihani kilicho waisaidia ni simu kukutwa imezimwa,hivyo wakapata cha kujitetea.ajaribu chuo kingine akamalizie lkn siamini kama appeal huwa zinashinda pale UDJaman husika na kichwa cha habari hapoa juu mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa nne UDSM(COET) kuna mwanafunzi mwenzetu wamemdisco chuo eti kisa cmu , alikutwa na simu kipindi cha ue na simu yenyewe aliingia nayo bila kujua ,simu ilikua ON kabisa haina uwezo wowote wa ku browse material kwenye net, sasa cha ajabu senate ya chuo wamekaaa ijumaa tar 5th april 2013 wameamua kum disco, tumebakiza miezi miwili tu kumaliza chuo je hii ni halali kweli?? Maamuzi waliyofanya ni sahihi wana JF tunaomba mawazo yenu tuweze kumsaidia mwenzetu kwani amechanganyikiwa hauju cha kufanya.Ushauri wenu plz
kuna wengine pia 10 wamekutwa na cmu nao pia zilikua zmezmwa ilani miaka ya chini nao wamewadisco pia yaaan hata cjui wameangalia nn