samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
Jaman husika na kichwa cha habari hapoa juu mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa nne UDSM(COET) kuna mwanafunzi mwenzetu wamemdisco chuo eti kisa cmu , alikutwa na simu kipindi cha ue na simu yenyewe aliingia nayo bila kujua ,simu ilikua ON kabisa haina uwezo wowote wa ku browse material kwenye net, sasa cha ajabu senate ya chuo wamekaaa ijumaa tar 5th april 2013 wameamua kum disco, tumebakiza miezi miwili tu kumaliza chuo je hii ni halali kweli?? Maamuzi waliyofanya ni sahihi wana JF tunaomba mawazo yenu tuweze kumsaidia mwenzetu kwani amechanganyikiwa hauju cha kufanya.Ushauri wenu plz