Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Sheria ziko wazi hutakiwi kuingia na cm kwenye chumba cha mtihani haijalsh imezmwa au haijazmwa sasa m2 anaingia na cm imezmwa ya nini?tatzo letu wabongo wengi ni wazembe kupindukia senate imefanya kazi yake ili na wengne wajfunze kuwa makin wanapoingia kwenye chumba cha mtihani