Ushauri: Div 4 ya points 18, naweza jiunga na diploma?

Ushauri: Div 4 ya points 18, naweza jiunga na diploma?

teflon_don

Member
Joined
May 31, 2013
Posts
13
Reaction score
2
nina div 4 ya 18,bam f,gs f,geo e,hist s na economics f,naomba ushauri kama kwa matokeo haya naweza jiunga na diploma vyuo vya hapa bongo,na vp course zote related to tax?naweza pata kwa hayo matokeo au itanibid nianze cheti!
 
Unasoma kabisa mbona ata diploma ya education hapo unasoma kabisa c una principal moja na subcjary 1 ucwe na waswas!
 
usieaze kijana imani yako itakuponya utapata tu.
 
unapata hata coz nyingine but educaton ni 100%

mkuu so far nataka ni apply ita,diploma ya customs and tax management,2 yrz!kwasababu malengo yangu ilikua ni kusoma hii course japo nilitarajia ningeanza bachelor but cjakata tamaa,swali ni kama na cc wa diploma tunaweza apply mkopo.
 
Na division iv yako unataka ukawe mwl ili uzalishe division I? Serikali ya Tanzania haipo makini kabisa ktk suala la elimu kwa watanzania

Acha ujinga kudiscourage wenzako humu, kwann usiwe kimya kama huna cha kukomenti?
 
Acha ujinga kudiscourage wenzako humu, kwann usiwe kimya kama huna cha kukomenti?

Mjinga ni wewe unayetaka mwanao afundishwe na mtu aliyefeli then uanze kuilalamikia serikali. Serikali inatakiwa ionyeshe umakini na kuanzia sasa ualimu isionekane ni kazi ya Watu waliofeli mitihani. Ili taaluma ya ualimu izidi kuheshimika inabidi tuanze kuikemea Tabia hii ya kuwapokea Watu waliofeli. Ushauri wangu ni kua maisha ya sasa ni magumu sana na hayahitaji sanaa rudi shule karudie mtihani Kama kweli upo serious na shule, ikishindikana basi nenda VETA ukajifunze ufundi stadi ili uweze kujitegemea kwa kujiajiri maana kazi ya ufundi stadi haihitaji sana intellectual pia unaweza kujiunga na jeshi la polisi huko nako hatuhitaji akili sana
 
Mjinga ni wewe unayetaka mwanao afundishwe na mtu aliyefeli then uanze kuilalamikia serikali. Serikali inatakiwa ionyeshe umakini na kuanzia sasa ualimu isionekane ni kazi ya Watu waliofeli mitihani. Ili taaluma ya ualimu izidi kuheshimika inabidi tuanze kuikemea Tabia hii ya kuwapokea Watu waliofeli. Ushauri wangu ni kua maisha ya sasa ni magumu sana na hayahitaji sanaa rudi shule karudie mtihani Kama kweli upo serious na shule, ikishindikana basi nenda VETA ukajifunze ufundi stadi ili uweze kujitegemea kwa kujiajiri maana kazi ya ufundi stadi haihitaji sana intellectual pia unaweza kujiunga na jeshi la polisi huko nako hatuhitaji akili sana

asante kwa ushauri mkuu.
 
Riseat mtian,otherwise nenda kawe mgambo wa jiji.
 
Back
Top Bottom