teflon_don
Member
- May 31, 2013
- 13
- 2
nina div 4 ya 18,bam f,gs f,geo e,hist s na economics f,naomba ushauri kama kwa matokeo haya naweza jiunga na diploma vyuo vya hapa bongo,na vp course zote related to tax?naweza pata kwa hayo matokeo au itanibid nianze cheti!